Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Kumsifia sawa ila sio kujilinganisha. Uanze unajua we mzuri mi sura yangu kama Masoud sura mbaya sijui kama utanikubali. Sasa hayo ya nini jamani.
 
Hahahahahaha.......wameshakuelewa.....Ila nitakualika siku moja kwenye kanisa langu (BREAST AND HONEY FELLOWSHIP INTERNATIONAL) ili uwaelimishe vijana coz siku hizi wanafelisha sana.
 
Hahahahahaha.......wameshakuelewa.....Ila nitakualika siku moja kwenye kanisa langu (BREAST AND HONEY FELLOWSHIP INTERNATIONAL) ili uwaelimishe vijana coz siku hizi wanafelisha sana.
Mmmmmmmmh
 
mzigua kwa namna ulivyompiga mkwara aliyekubeep asubuhi asubuhi; nawaza utakuwa kwenye kundi gani hapa; mwenye shape nzuri? Mwenye kazi nzuri? Kipato kikubwa? Mwenye umbo nzuri?! Shule ya haja? Hebu tujuze! Ukisema shape/umbo nzuri weka picha yako tafadhali!
 
basi ngoja nikupigie nianze na maneno kuntu au unasemaje ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…