Kumbe ulikuwa unammendea eeehhh!! Mungu amenikunia nazi akiiNakumind umenipeperushia ndege wangu BAK
Basi tuongee saa hizi kabla simu haijazima mchumba
Huku PM tumefungaa[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekuelewa BAK japo umeniumiza moyo wangu
Kwani huwa kuna chura ipiChura ipi sasa
Sakayo akili yake anaijua mwenyewe nimemshindwa mieSakayo hana akili kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KheeeeeeeHahaha
Slang ya kikenya hiyo, kwa iyo ww mrembo wa kizigua wa 90 unaishi Dsm?Hiyo Jo imeniua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ushachelewa the Don na PM haifunguliwi ng'oo maana ilikua wazi for almost a year mpk nikasahau namna ya kufunga waliokuwemo wamoo!!
Shunie Pm si nimefunga juzi kwa msaada wako eeehh![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama Mimi vile yaani hao niliwazoea mpk wanashangaa the way navyochetuka nao!Mi asili yangu tu sinaga mazoea mazoea na watu. Na nikimzoea mtu akijua akili yangu ilivyo mbaya atashangaa alivyokua ananiona na nilivyo baada ya kunijua watu wawili tofauti [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Don naomba list za wadada waliofunga pmIt might not be tomorrow, lakini thanks God nimepata pa kuanzia.
Expect me soon, ngoja nikusanye resources zangu kwanza.
Sema nimefarahi pia kuona na wewe umefunga PM (you got a plus to this).
Kwa msaada wangu ndugu mana alikuwa unalalamika vitoto vinavyokusumbua huko na makelele yao[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ushachelewa the Don na PM haifunguliwi ng'oo maana ilikua wazi for almost a year mpk nikasahau namna ya kufunga waliokuwemo wamoo!!
Shunie Pm si nimefunga juzi kwa msaada wako eeehh![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Lol natamani Smart911 aione hiiiiii tehteh [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Tumesikia ila wivu muhimu bwana BAK. Mi mwenyewe siku nikiwa na bwana humu sitataka hata wanawake walike post zake [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Don naomba list za wadada waliofunga pm
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nakucheka kichinaaa!!!pole sana haifunguliwiUnajidanganya, nikiamua ufungua mwezi ni mrefu.
Shunie huyo huyo atakwambia nifungulie.
Nakunsanya resources, sitaki kuweka nia halafu niachie jimbo, nikifika nabadili na katiba kabisa.
Yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] kama mimi tehteh nilikua najionaga kashamba kweli kakuja muulizeni Smart911Hii ni kwa wanawake pia ambao hawajiamini kwamba wanaweza kuwa na njemba mwenye muonekano au status A au B. Saa zote huwa na wasiwasi kwamba hapendwi na hata kuanza kujenga chuki dhidi ya KE wengine kisa tu ni
wasiwasi wake hao KE wengine wana mahusiano ya kimapenzi na mpenzi wake. KUJIAMINI KWENYE PENZI NI MUHIMU SANA.
Mwenzangu loooh!sina raha hata kidogo kaah!wakati tayari.....!!!anatosha!Kwa msaada wangu ndugu mana alikuwa unalalamika vitoto vinavyokusumbua huko na makelele yao