Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Yaniiiiiii mpaka nilimwambiaga, Smart911 naomba uwakule tu kwakweli wewewewewewewewe smart alitaka kunipiga ngwala moja hio eti acha upimbi mahondaw.. Nilikimbiajee [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kuja kurudi badaeee akanikumbatia kwa nguvu kweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Wanaume huwa mnaamini mwanamke mwenye muonekano fulani hawezi kuwa na wewe. Kwa mfano mwenye kazi nzuri kukuzidi au mwenye mvuto unaohisi wewe humfai. Mnachokosea ni kwamba mwanamke akikupenda hata uwe muokopa makopo atakukubalia. Ukiwa unapiga sound usianze kutumia maneno ooh najua mimi sio level yako we mzuri sana wewe una kipato kunizidi wewe this wewe that blah blah. Nenda kwenye point sio kuanza kujilalamisha uonewe huruma. Mwanaume ukijiamini hata uweje utapata mwanamke unaemtaka. Kazi yako au muonekano wako hauhusiani na mapenzi yako.
Natamani huyu kaka alonipigia simu saa hizi asome hapa maana hata kama nilipanga kumkubali basi tena keshanikosa.
Kwakweli hiyo ni poor performance
Amenikera hata mimi ameanzaje mtongozo wa kijinga namna hiyo
Si angekuja kwangu nimpe mashairi
Pole Mzigua90: huyo ni wale wanaume wenu wa dar[emoji2] [emoji2] [emoji2] njoo Katavi ukutane na wanaume wa ukweli
 
Back
Top Bottom