Hawa hapana kwa kweli,Hao hao
Wembamba hawaonelewi sana kama sisi wanene. Yani sisi wanene ndo tuna shida. Mmoja huyo alianza bby kama upungue hivi nikamwambia bby kwani wembamba hukuwaona huko unapopita pita? Aliishia kucheka [emoji23][emoji23][emoji23]Au anatongoza mwembamba afu anaanza kumwambia anenepe!sjui hakuona wanene![emoji3]
Kwanini na umenitosa sasa. Hadi nimemwambia mchumba angu Don Clericuzio ulivyonitosaWala usijiumize moyo wako. Huna sababu ya kujitesa.