Ikatokea nikawepo weekend hii twende maana nampigiaga simu shoga angu nalalamika anitafutie mtu aniletee mishkaki maana mi kwenda kule mbali [emoji23][emoji23]Halafu niliweka pic kwa stts nikajua utachungulia mishkaki ni mitamu mama na ile salad yao woiiii
Kweli kweli. Ndo maana nakupenda bby wa zamaniupo sawa chief...lkn hilo la kwenda kwa mwanamke ukiSeek her sympath and pity ni kujishushia hadhi ya uanaume,
Wanawake mara nyingi ndio wanatumia hiyo technique, mwanaume ni mwanaume tu asee hata kama ni konda wa daladala ukimfata kiume lazima akuelewe hata kama hatokubali.
Utakua una kitu tunakipenda wewe.Ni kweli....ila kuna wengine tunatongozwa bila kutegemea na ni raha kweli kutongozwa na mwanamke. Yaani utakuta mwanamke anakuwa na wasiwasi mpaka na wengine wanalia kwa kuhofia kukataliwa. Sijawahi kumkatalia mwanamke anayenitongoza ila natumia busara tu kuwasepa nisiowataka.
Kaniona kibonge mie kanistahi utakua wewe shoga???Unapenda ofaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] miye akuuuuu!
Kwanza huyo atakuja kunifungulia uzi tu humu na hivi kibongee!