Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mambo ya kuja pm mnaanza ooh picha sijui contact staki. Nakuja uniambie hiyo busyness.

Hahhaahaha Mbona hii imenichekesha hivi ...me sio wa hivyo unfortunetely upo wrong sanaaa
 
Nilisha miliki HR wangu kwa kujiamini tu, alikuwa anajikubali sana kwa ushapu wangu.

Mara nimpelekee matunda, mara nimsindikize shopping.

Mwisho wa siku tunapiga zetu wine nikatunukiwa kitumbua safi kabisaa.

Mtoto akawa addicted sana na mm, hata mshahara nikawa siutumii sana.

Nilikuja kuvuruga baada ya yeye kupekua simu yangu na kukuta nasakamwa na kikosi kizima cha yanga, kila mmoja anamalalamiko yake.
Na mapenz yakafa.
 
Basi kama unajua sio level yako unamtongoza wa nini? Ina maana huoni unaolingana nao? Ndo yale yale mtu anatongoza mwanamke kibonge halafu anaanza kumwambia apungue wakati kuna wembamba kibao kawaacha
Hahahaha apunguze mafuta kidogo, unene sio mzuri
 
Alichokiandika na ulivyomuelewa ni maji na mafuta by the way ndo uhalisia wa akili na uwezo wa kuelewa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…