MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
wote hakuna cha kuwagawa hapa, kuna kuna sheria ya kifamilia inasema kuwa mshahara wa mwanaume ni wa familia nzima lakini mshahara wa mwanamke ni wa mwanamke tu basi:
anayebisha aje hapa bila jazba lakini, mimi leo nawatetea wanawake tu, watu wamezidi kuwaonea sana ,mara ooo wanaua , wauaji oo sijui nini maneno kibao kila kashfa anapewa yeye mwanamke
mkuu,hivi mtu haruhusiwi kusema ukweli?
soma hapo juu kwenye red kabla hujajibu post yangu kijanawote hakuna cha kuwagawa hapa, kuna kuna sheria ya kifamilia inasema kuwa mshahara wa mwanaume ni wa familia nzima lakini mshahara wa mwanamke ni wa mwanamke tu basi:
anayebisha aje hapa bila jazba lakini, mimi leo nawatetea wanawake tu, watu wamezidi kuwaonea sana ,mara ooo wanaua , wauaji oo sijui nini maneno kibao kila kashfa anapewa yeye mwanamke
Umeahidiwa Kubwa Nini mbonaa leo wajigonga sana kwa viumbe hawa??
Jana tu nilikuwa na Demu, tumekaa nae vizuri tu, Mara kaanza kulialia ooh mara Kodi ya Nyumba sina, Nadaiwa maji,. Mara Betri ya Simu imekufa. Nikaamua kumuaga na kuondoka. Isije ikawa ndio huyu Sarafina1 kaamua kuja kulia humu. Pole sana mama jifunze kujitegemea.
Jua ya kwamba ukiomba na wewe utaombwa.!!!
sarafina naye kamwaga ukweli hapa
he he he he wajiona wa maana sana kushindwa kumtimizia demu wako mahitaji yake? mwanaume suruali kweli wewe, unajiona ulifanya la maana sana kuondoka.....ungemwambia huna uwezo....inavyoonekana unapenda vya bure, nyie ndo wale mnataka hata hela ya kitanda guest na kondom mlipiwe na boxer mnunuliwe.....ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa.....unalo!! Sarafina hajakataa mwanaume asiombe,ila kuwe na kiasi,si kila kukicha unaomba tu....heshima inashuka...ushalobaro umezidi,usitake kufananisha Sarafina na mlupo wako wa bei chee unaoomba hata betri....yeye Sarafina anaombwa na wanaume si yeye anaomba! Uache tabia hiyo!
Hivi Sarafina umemaanisha wanaume waliokimapenzi au hata mafriend kwa kawaida??
sisi vijana wa zamani hatukuwa na hatuna na huenda hatutakuwa na tabia kama hizi za nyie vijana wa kisasa (masharobaro) kulia lia.
Ndo maana hii thread ilipoletwa tulishtushwa na ukali wa haya maneno..hatujazoea kusikia
Mi nimecheka mpaka mbavu zauma hapa lol, wababa walivyokasirika
Mipasho ndo yenyewe....tena ukipasha kwa kujishaua na kujishebedua ndo hunoga zaidi.
Kwa kweli sina hata la kusema kwenye hili. Nimekuwa najitegemea mwenyewe tokea umri wa miaka 18 na niko mwajibikaji na ninaishi ndani ya uwezo wangu. Ila nadhani kulialia au kulalama kuhusiana na ugumu wa maisha halafu kuishia kusumbua wenzio si uzuri. Na hili halina jinsia lakini baadhi ya watu wanapenda kuingiza jinsia. Sijui kwa nini tu.
Licha ya hivyo, aso na haya wala haoni ubaya kupiga watu mizinga. Si tabia nzuri na wewe kama unayo iache Michelle lol...tena ukome kabisa.
Mahitaji mi ni mzazi wake?. Mkawachune hao wa mkoani. Sisi tunajua ugumu wa hiyo pesa, hatuchuniki. Ukishindwa wewe vua gamba.
Hehehehe leo mmenichekesha katavi banaWewee shika adabu yako, nani anajibaraguza?? Ngoja niulize kama nami huwa najiliza.....lol!!
Hapa sasa unaongea lolHao watakuwa mashabaro tu! Toka lini mwanaume akalia kisa eti hana hela, tena mbele ya mpenzi.....hatujafundishwa hivyo katika jamii yetu!
Hata bila ushahidi my dia haya mambo yapo, nimefarijika kwamba hata wewe hupendi ni kujidhalilishaSio kuwa tumekuja juu, toa ushahidi kidogo japo kidogo. Kwetu mwanaume kulialia ni mkosi tena mbele ya mwanamke.....lol!!
he he he he wajiona wa maana sana kushindwa kumtimizia demu wako mahitaji yake? mwanaume suruali kweli wewe, unajiona ulifanya la maana sana kuondoka.....ungemwambia huna uwezo....inavyoonekana unapenda vya bure, nyie ndo wale mnataka hata hela ya kitanda guest na kondom mlipiwe na boxer mnunuliwe.....ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa.....unalo!! Sarafina hajakataa mwanaume asiombe,ila kuwe na kiasi,si kila kukicha unaomba tu....heshima inashuka...ushalobaro umezidi,usitake kufananisha Sarafina na mlupo wako wa bei chee unaoomba hata betri....yeye Sarafina anaombwa na wanaume si yeye anaomba! Uache tabia hiyo!
wakiambiwa ukweli kelele moja kwa moja! Wapo sana . Hasa wakiona una franga kidogo ndio balaa . Gud Sarafina umepasua jipu
Dada mwanajamii One hapa hakuna cha mafriend wa kawaida wala wapenzi, hata wewe uwe na rafiki tu wa kike awe anajiliza liza utafurahia? si utamshangaa? sasa anakuja mwanaume kila siku kujiliza, mkimbizwa mbio kasema kuna mdada alimlilia shida jana akamkimbia, Na anadhani ni mimi) je mwanaume kumlilia mwanamke si ndio yachekesha zaidi mamy
Forum: Mahusiano, mapenzi, urafikiUsituletee mambo facebook humu..hapa ni ma great thinkers..we discuss relevant stuffs..politics,economics..e.t.c
Usituletee mambo facebook humu..hapa ni ma great thinkers..we discuss relevant stuffs..politics,economics..e.t.c