Mwanaume kukojoa maji badala ya spam /mbegu shida ni nini?

Mwanaume kukojoa maji badala ya spam /mbegu shida ni nini?

mose moses

Member
Joined
Jan 31, 2017
Posts
46
Reaction score
23
Mwanaume kukojoa maji badala ya spam/mbegu shida ni nini? Au uume unagoma kabisa kusimama nini tatizo kwa wanaume.

Tafadhali wenye hekima mnahusika.
 
Duuuh hizi mada ni kila siku sema inachangiwa na stress za kukosekana kwa hela tanzania
 
Mwanaume kukojoa maji badala ya spam/mbegu shida ni nini? Au uume unagoma kabisa kusimama nini tatizo kwa wanaume.

Tafadhali wenye hekima mnahusika.
Mwambie aende akawaone seedco wataalamu wa mbegu kwa ushauri zaidi
 
Mwanaume kukojoa maji badala ya spam/mbegu shida ni nini? Au uume unagoma kabisa kusimama nini tatizo kwa wanaume.

Tafadhali wenye hekima mnahusika.
kama anakojoa spam/ mbegu huyo ni mgonjwa anatakiwa kuwahi hospitali haraka, mtu anatakiwa kukojoa mkojo tu, sio zaidi ya hapo.
 
Mwanaume kukojoa maji badala ya spam/mbegu shida ni nini? Au uume unagoma kabisa kusimama nini tatizo kwa wanaume.

Tafadhali wenye hekima mnahusika.
Zifuatazo zinaweza kuwa sababu.
1.Umepiga sana puchu
2.Huli vyakula vizuri(hasa protini na matunda)
3.Hunywi maji ya kutosha
3.Una stress
4.Mazoezi hufanyi...hata kuruka kamba tu ni mazoezi
.....hapo usipojitathmini lazima ukojoe upepo na jamaa alale doro.
 
Zifuatazo zinaweza kuwa sababu.
1.Umepiga sana puchu
2.Huli vyakula vizuri(hasa protini na matunda)
3.Hunywi maji ya kutosha
3.Una stress
4.Mazoezi hufanyi...hata kuruka kamba tu ni mazoezi
.....hapo usipojitathmini lazima ukojoe upepo na jamaa alale doro.
Ahaaaaa ahaaaa hiyo inawwza kuwa sahihi
 
Nakubali, kukosekana kwa mvua Tz kumeleteleza matatizo kisaikolojia jamani. Dah! Hebu tuone, haya matone yaloshuka juzi kati kwaweza badili muelekea kwani tulipokuwa tunaelekea siko. Mtu amefika mahali pa kukojoa spam!! Dah!
 
Back
Top Bottom