Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]kama anakojoa spam/ mbegu huyo ni mgonjwa anatakiwa kuwahi hospitali haraka, mtu anatakiwa kukojoa mkojo tu, sio zaidi ya hapo.
Sperm kutoa harufu mbaya inategemea kwanza lazima ukague vizuri kama kweli ni sperm zako au za kike unazisikia wakati gani wakati wa kufua kutambaa au unasikia harufu kabla huja kojoa au baada ya kukojoa lazima ujibu ili tuendelee na mjadalaDalili za tezi dume...pamoja na sperm kutoa harufu mbaya na Kali mno.
Sureumezionaje sperm mkuu!!? maana sperms ni microscopic... sema labda unakojoa 'maji' badala ya 'semens'. Sawa bwana mdogo!
hahahaInatokana na kukosekana kwa mvua
Utakuwa una upungufu wa mbegu zako za kiume. Nitafute mimi nipate kukutibia.Mwanaume kukojoa maji badala ya spam/mbegu shida ni nini? Au uume unagoma kabisa kusimama nini tatizo kwa wanaume.
Tafadhali wenye hekima mnahusika.
Na upunguze pombe za kienyeji mkuuAcha kula chips kavu na tomato
Nile nn babaAcha kula chips kavu na tomato
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ni xhidaNakubali, kukosekana kwa mvua Tz kumeleteleza matatizo kisaikolojia jamani. Dah! Hebu tuone, haya matone yaloshuka juzi kati kwaweza badili muelekea kwani tulipokuwa tunaelekea siko. Mtu amefika mahali pa kukojoa spam!! Dah!
Kula ugali wa dona na dagaa kula maparachichi na matikiti ya kutosha fanya mazoezi vizuri, kunywa supu ya kuku wa kienyeji mbogamboga za kutosha(za majani)Nile nn baba
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] labda kama ana psychological problems yawezekana uume ukashindwa kusimama au kama ana infections katika via vyake vya uzazMwanaume kukojoa maji badala ya spam/mbegu shida ni nini? Au uume unagoma kabisa kusimama nini tatizo kwa wanaume.
Tafadhali wenye hekima mnahusika.