Ujanja wa mwnaume hua unachangia tu ila sio sababu kamili ya mwanamke kukubali au kukataa.Ningekua sijachoka ningejibu kwa kirefu...mida!
...Naweza kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani. Niliwahi kumtongoza mdada ambaye tulikuwa tukikutana karibu lika siku kituo cha dalax2. Kadri siku zilivyozidi kwenda nikajikuta napata hisia na hasa kuanzia muenekano wake wa nje. Kuna siku nilimkabili na kumueleza..Kilichofata hapo nitarudi baadae. Lakini pia licha ya hizo hisia inategemea unamu-approach vipi. Hii ina nafasi sana ku-determine kufanikiwa au kutoswa!!!Mimi binafsi siamini kama ni suala la huruma au tricks,nachoamini mimi ni hisia ndizo zinacontroll mahusiano hivyo mwanamke anapomkubali mwanaume kiukweli anakuwa ameanza kuwa na hisia nae na si vinginevyo.sasa wewe njoo na tricks zako halafu umkute mwanamke hana hisia kabisa juu yako hakyanani utaimba haleluya ila kwa mapenzi ya siku hizi unaweza kukubaliwa tu ili uchunwe mwisho wa siku adabu ikukae!huku wee ukijiona mjanja kwa tricks zako!
Wanawake wa siku hizi asilimia kubwa hawajui kukataa na hasa unapokuwa na tripple C. Namaanisha
1. Cash
2. Car na
3. Cellular Phone.