Au achambie jiweuanaume ni mgumu kila kitu kinapigwa
utaambiwa hata kuchambia maji utaambiwa wanawaume hatakiwi hivyo aseleleke tu kwenye majani
Kwani tatizo ni lipi hapo???Yani unamwita mwanaume mwenzio kws heruf moja?? Kama ni aka yake sawa ila sio kutamka kabisa eti H mambo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]huku tunakoelekea tutaambiwa kuwa wanaume tunatakiwa kulala WIMA soon
Hahahaa. Ila hata sio katabia kazuri kwa kweli.Yani unamwita mwanaume mwenzio kws heruf moja?? Kama ni aka yake sawa ila sio kutamka kabisa eti H mambo
Heruf ya kwanza uitwe na mwanamke bana ndio kitu kinatoka poa...au umuite mwanamkeHahahaa. Ila hata sio katabia kazuri kwa kweli.
Hahahaa. Kweli kabisa.Heruf ya kwanza uitwe na mwanamke bana ndio kitu kinatoka poa...au umuite mwanamke
CC:JJ
Sawa mkuu, me jina ni Tadleignshante sasa marafiki zangu wanaliona refu ivyo basi hufupisha na kuniita Mr.T, je niwakataze wasijibebisheTena sana. Sema Magufuli bwana huo ndio uanaume. Ya JPM waachie waandishi wa magazeti
Au JK! Tusifanye maisha yawe magumu zaidi jamani!Vipi kuhusu sisi tunaomwita JPM, na sisi tunajibebisha?
Na kweli mkuu, inabidi TBS watusaidie kwenye hili maana vipimo vya uanaume vimezidi kiwango.Au JK! Tusifanye maisha yawe magumu zaidi jamani!