Queen V
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 775
- 1,332
- Thread starter
- #41
Mkuu umeumia sana najua ila kufupisha jina ni kujibebisha. Mimi hubby namuita jina lote tukiwa serious ila kitandani nafupisha tena sharti natamkia puani. Haloooooooooooooooooooooooo!Kama wanaume kuita jina kwa herufi moja ni kujibebisha kwahiyo na wanawake wakimuita mtu jina lake kwa kirefu, yaani jina kamili nao wanakua wanajifananisha na wanaume? nawaza tu teh! teh!