Binadamu hasa watanzania mnapenda kufanya maisha yawe magumu sana kwa kufuatilia vitu vya kijinga jinga mnooo. Sasa mtu kuitwa kwa herufi ya kwanza kunampunguzia nini anayeitwa au anayeita ?
Ujinga au ushoga upo ndani ya yule anayetafsiri hicho kitendo kwa mtazamo HASI.