super black JF-Expert Member Joined Sep 11, 2016 Posts 566 Reaction score 533 Apr 9, 2020 #1 Ivi mwanaume mzima unaanzaje kutamka ili neno "KWIO"??? Mwenyewe apa naliwekea quotation Marks kulitamka kavu naona nongwa. Mtakuja ombwa mpigwe pipe kisa kutamka tamka " KWIO" Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi mwanaume mzima unaanzaje kutamka ili neno "KWIO"??? Mwenyewe apa naliwekea quotation Marks kulitamka kavu naona nongwa. Mtakuja ombwa mpigwe pipe kisa kutamka tamka " KWIO" Sent using Jamii Forums mobile app
Ndengaso JF-Expert Member Joined Jul 18, 2014 Posts 7,831 Reaction score 14,259 Apr 9, 2020 #2 Kwio maana yake ni nini kwanza maana ninyi watu wa Dar kwa misemo bwana, nimeisikia kwenye singeli isiyokua na kichwa wala miguu nikajua na neno hilo halina kichwa wala miguu... Sent using Jamii Forums mobile app
Kwio maana yake ni nini kwanza maana ninyi watu wa Dar kwa misemo bwana, nimeisikia kwenye singeli isiyokua na kichwa wala miguu nikajua na neno hilo halina kichwa wala miguu... Sent using Jamii Forums mobile app
The Humble Dreamer JF-Expert Member Joined Oct 12, 2015 Posts 7,574 Reaction score 10,598 Apr 9, 2020 #3 Watu wa Dar muandike kamusi yenu tu mana mnatuchosha
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Apr 10, 2020 #4 Vp kuhusu huyo uliempost ?
muhamar Gadaf JF-Expert Member Joined Jul 5, 2017 Posts 1,101 Reaction score 1,050 Apr 10, 2020 #5 Wanaume wa daa wanna shida Sana kwa kweli Sent using Jamii Forums mobile app
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Apr 29, 2020 #6 Piga kelele kwa "kwiooooh" ake, weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Sent using Jamii Forums mobile app
Piga kelele kwa "kwiooooh" ake, weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 May 1, 2020 #7 Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi