Mwanaume kutamka maneno haya si sawa hata kidogo

Huwa najiuliza hivi uanaume ni nini maana inaonekana siku hizi uanaume siyo tu kuwa na jinsia ya kiume, kwamba kuna matendo ukiyafanya ghafla unakuwa mwanamke hata kama una jinsia ya kiume, halafu cha ajabu mengi ni matendo ambayo hayapunguzi chochote wala hayana uhusiano na jinsia
 
Nadhani hii ni kutokana na hali halisi..

Kuwa na UUME tu haitoshi kuwa mwanaume siku hizi! Jinsia hii inaelekea kutoweka duniani, hivyo lazima uwe na;
  • UUME
  • HULKA za uume
  • Tabia za UUME
  • Misimamo ya UUME
  • Muonekano wa UUME
  • Fikra za UUME
  • Matendo ya UUME
  • Muelekeo wa UUME

Na hapo kwenye muonekano, hakuna justification, kujifanya modo au unaenda na fasheni;
  • visuruali juu ya enko
  • Vinjunga vinaishia mwisho wa mbupu
  • rangi za kung'arisha mdomo
  • nasikia wanapigania kununua serum
  • unalainisha mikono, ili iwe nini?

Unasuka nywele zaidi ya Ashura, umepaka poda, umevaa hereni sikio zote, umevaa kipini cha pua, midomo inang'ara kwa lip bum, umevaa suruali modo inayoishia juu ya ankle, imebana vikalio vyako barabara, una culture 2 kila mkono, umevaa kiatu kina soli kubwa kama binti wa kizungu aliyeanza kuujua UUME....

Sina hakika kama unafiti kwenye natural category ya UANAUME, hivyo maongezi yako lazima yataendana na muonekano wako!
 
Wa TZ wamevurugwa na ugumu wa maisha. Ni wa kuwasamehe.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Ninunue chips afu asiongeze kuwa serious sina woga kusema ongeza , hata mama ntilie namwambia ongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…