Mwanaume Kuwa Makini Na Haya Mambo Matatu

Mwanaume Kuwa Makini Na Haya Mambo Matatu

Sisa Og

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2024
Posts
201
Reaction score
504
Habari zenu?

Niende kwenye mada!
Ni furaha kwangu pale ninapokutana na mwanaume mwenye mienendo ya kiume. Kwakweli inachukua muda kukutana na mwanaume haswa. Kwakweli wanaume wengi tumepoteza sifa sana. Yaani ni kama hatujui thamani yetu. Haya ni mambo matatu ambayo tunayafanya daily na yanaharibu psychology ya mwanaume:

*Kusikiliza nyimbo laini
Hizi ni nyimbo ambazo zinahusu mada za kuonesha udhaifu au kuamsha hisia laini. Mfano, hizi nyimbo za hadithi za sikununu. Nyimbo fulani zinaonesha jinsi gani mwanaume anahitaji sana mwanamke ili akamilike. Na wasanii huonesha ni bora kufa kabisa ikiwa mwanamke atakuacha. Kuna nyingine nilisikia jamaa anasikiliza inasema "... bora nikose pesa mali,..nifanye kazi bila salali ila niwe nawe"
Hapa tunaenda kuzalisha wanaume ambao kutwa wanahimizana kutafuta pesa ili wapate mpenzi, au wanaume ambao ni nice man na hawataweza kufanya chochote bila mwanamke sababu sioni msimamo na energy ya mwanaume na inaonekana jukumu la kupenda ni la mwanaume. Kuonesha kuwa kupata mwanamke ni jambo la thamani sana kuliko maisha yake mwenyewe. Kazi za sanaa zina mchango katika kujenga au kubomoa jamii. Ni nyimbo hizo hizo ndo zilifanya watu waamini hakuna kama mama.

*Kuvaa Jezi au T shirt za wasanii
Hii inaeleweka vyema kabisa. Katika uchunguzi wangu wa kawaida nimegundua, kila masikini au regular people ndo tunatumika kama chambo kukuza au kutangaza popular people. Mfano, kuna jamaa yangu alikuja kunitembelea akaniambia watoto wa mtaani kwako wameniita shetani. Akadai alipowauliza wakadai amevaa nguo ya shetani. Jamaa alikuwa amevaa T shirt yenye picha ya Lil Uzi. Wengi tunajua jinsi gani Lil Uz aliwahi kusema yeye na mashabiki zake wote wanamuabudu shetani. Jamaa sikumuelewesha maana niligundua hata hajui hata aliyemvaa ni nani. Unakuta jamaa amevaa T shirt imejaa logo za wafanyabishara kibao. Kataa kuwa wa kawaida. Mwanaume so mpaka uwe na magari ndo uheshimike ndo thamani yako ipande. Najua regular people mtapinga hii kwa nguvu. Ila hii inaonesha jinsi gani uko weak and easy influenced man.

*kuajiriwa Muda Mrefu
Kabla hujafa au kuzeeka mwanaume lazima uache sir name yako. Sasa mtu unaajiriwa una miaka 20's mpaka 60's. Kuajiriwa sio kitu kibaya lakini mwanaume inabidi umiliki mradi wako. Ajiri watu, ongoza watu, lipa watu. Siku moja familia za watu zijue mshahara tunaokula unatoka kwa Sisa Og. Sio kila siku we ni kuamka asubuhi na kurudi usiku, yaani unategemea mshahara na marupurupu na kuomba vikao vya posho. Mwanaume umezaliwa kuongoza, kumiliki na kuendeleza.


Kama kuna sehemu nimbolonga nisameheni tu, mimi sio Mungu.

Sisa Og
 
Habari zenu?

Niende kwenye mada!
Ni furaha kwangu pale ninapokutana na mwanaume mwenye mienendo ya kiume. Kwakweli inachukua muda kukutana na mwanaume haswa. Kwakweli wanaume wengi tumepoteza sifa sana. Yaani ni kama hatujui thamani yetu. Haya ni mambo matatu ambayo tunayafanya daily na yanaharibu psychology ya mwanaume:

*Kusikiliza nyimbo laini
Hizi ni nyimbo ambazo zinahusu mada za kuonesha udhaifu au kuamsha hisia laini. Mfano, hizi nyimbo za hadithi za sikununu. Nyimbo fulani zinaonesha jinsi gani mwanaume anahitaji sana mwanamke ili akamilike. Na wasanii huonesha ni bora kufa kabisa ikiwa mwanamke atakuacha. Kuna nyingine nilisikia jamaa anasikiliza inasema "... bora nikose pesa mali,..nifanye kazi bila salali ila niwe nawe"
Hapa tunaenda kuzalisha wanaume ambao kutwa wanahimizana kutafuta pesa ili wapate mpenzi, au wanaume ambao ni nice man na hawataweza kufanya chochote bila mwanamke sababu sioni msimamo na energy ya mwanaume na inaonekana jukumu la kupenda ni la mwanaume. Kuonesha kuwa kupata mwanamke ni jambo la thamani sana kuliko maisha yake mwenyewe. Kazi za sanaa zina mchango katika kujenga au kubomoa jamii. Ni nyimbo hizo hizo ndo zilifanya watu waamini hakuna kama mama.

*Kuvaa Jezi au T shirt za wasanii
Hii inaeleweka vyema kabisa. Katika uchunguzi wangu wa kawaida nimegundua, kila masikini au regular people ndo tunatumika kama chambo kukuza au kutangaza popular people. Mfano, kuna jamaa yangu alikuja kunitembelea akaniambia watoto wa mtaani kwako wameniita shetani. Akadai alipowauliza wakadai amevaa nguo ya shetani. Jamaa alikuwa amevaa T shirt yenye picha ya Lil Uzi. Wengi tunajua jinsi gani Lil Uz aliwahi kusema yeye na mashabiki zake wote wanamuabudu shetani. Jamaa sikumuelewesha maana niligundua hata hajui hata aliyemvaa ni nani. Unakuta jamaa amevaa T shirt imejaa logo za wafanyabishara kibao. Kataa kuwa wa kawaida. Mwanaume so mpaka uwe na magari ndo uheshimike ndo thamani yako ipande. Najua regular people mtapinga hii kwa nguvu. Ila hii inaonesha jinsi gani uko weak and easy influenced man.

*kuajiriwa Muda Mrefu
Kabla hujafa au kuzeeka mwanaume lazima uache sir name yako. Sasa mtu unaajiriwa una miaka 20's mpaka 60's. Kuajiriwa sio kitu kibaya lakini mwanaume inabidi umiliki mradi wako. Ajiri watu, ongoza watu, lipa watu. Siku moja familia za watu zijue mshahara tunaokula unatoka kwa Sisa Og. Sio kila siku we ni kuamka asubuhi na kurudi usiku, yaani unategemea mshahara na marupurupu na kuomba vikao vya posho. Mwanaume umezaliwa kuongoza, kumiliki na kuendeleza.


Kama kuna sehemu nimbolonga nisameheni tu, mimi sio Mungu.

Sisa Og
Kuna hoja ukisoma Kwa umakini Uzi huu
 
Kuona fahari kuwa na jina la Kiarabu au Kizungu ni ufala Daraja la kwanza.

Kusema Mungu wa Isaka, Ibrahim na Yakobo ni Mungu wako huo ni ujinga, mtafute Mungu wako sahihi umuabudu.

Waarabu wanamuabudu Allah, Wazungu wanamuabudu Jehovah, na nyie Wabantu rudini kwenye Asili zenu
 
Habari zenu?

Niende kwenye mada!
Ni furaha kwangu pale ninapokutana na mwanaume mwenye mienendo ya kiume. Kwakweli inachukua muda kukutana na mwanaume haswa. Kwakweli wanaume wengi tumepoteza sifa sana. Yaani ni kama hatujui thamani yetu. Haya ni mambo matatu ambayo tunayafanya daily na yanaharibu psychology ya mwanaume:

*Kusikiliza nyimbo laini
Hizi ni nyimbo ambazo zinahusu mada za kuonesha udhaifu au kuamsha hisia laini. Mfano, hizi nyimbo za hadithi za sikununu. Nyimbo fulani zinaonesha jinsi gani mwanaume anahitaji sana mwanamke ili akamilike. Na wasanii huonesha ni bora kufa kabisa ikiwa mwanamke atakuacha. Kuna nyingine nilisikia jamaa anasikiliza inasema "... bora nikose pesa mali,..nifanye kazi bila salali ila niwe nawe"
Hapa tunaenda kuzalisha wanaume ambao kutwa wanahimizana kutafuta pesa ili wapate mpenzi, au wanaume ambao ni nice man na hawataweza kufanya chochote bila mwanamke sababu sioni msimamo na energy ya mwanaume na inaonekana jukumu la kupenda ni la mwanaume. Kuonesha kuwa kupata mwanamke ni jambo la thamani sana kuliko maisha yake mwenyewe. Kazi za sanaa zina mchango katika kujenga au kubomoa jamii. Ni nyimbo hizo hizo ndo zilifanya watu waamini hakuna kama mama.

*Kuvaa Jezi au T shirt za wasanii
Hii inaeleweka vyema kabisa. Katika uchunguzi wangu wa kawaida nimegundua, kila masikini au regular people ndo tunatumika kama chambo kukuza au kutangaza popular people. Mfano, kuna jamaa yangu alikuja kunitembelea akaniambia watoto wa mtaani kwako wameniita shetani. Akadai alipowauliza wakadai amevaa nguo ya shetani. Jamaa alikuwa amevaa T shirt yenye picha ya Lil Uzi. Wengi tunajua jinsi gani Lil Uz aliwahi kusema yeye na mashabiki zake wote wanamuabudu shetani. Jamaa sikumuelewesha maana niligundua hata hajui hata aliyemvaa ni nani. Unakuta jamaa amevaa T shirt imejaa logo za wafanyabishara kibao. Kataa kuwa wa kawaida. Mwanaume so mpaka uwe na magari ndo uheshimike ndo thamani yako ipande. Najua regular people mtapinga hii kwa nguvu. Ila hii inaonesha jinsi gani uko weak and easy influenced man.

*kuajiriwa Muda Mrefu
Kabla hujafa au kuzeeka mwanaume lazima uache sir name yako. Sasa mtu unaajiriwa una miaka 20's mpaka 60's. Kuajiriwa sio kitu kibaya lakini mwanaume inabidi umiliki mradi wako. Ajiri watu, ongoza watu, lipa watu. Siku moja familia za watu zijue mshahara tunaokula unatoka kwa Sisa Og. Sio kila siku we ni kuamka asubuhi na kurudi usiku, yaani unategemea mshahara na marupurupu na kuomba vikao vya posho. Mwanaume umezaliwa kuongoza, kumiliki na kuendeleza.


Kama kuna sehemu nimbolonga nisameheni tu, mimi sio Mungu.

Sisa Og
"Ajiri watu, ongoza watu, lipa watu. Siku moja familia za watu zijue mshahara tunaokula unatoka kwa Extra Miles. Sio kila siku we ni kuamka asubuhi na kurudi usiku, yaani unategemea mshahara na marupurupu na kuomba vikao vya posho. Mwanaume umezaliwa kuongoza, kumiliki na kuendeleza".
 
Uzi mkali mwaka 2025, so far. Ila kizazi cha Engonga 400 hakitataka kukuelewa, watakaza mafuvu, tena sana
 
Hapo kwenye kuajiriwa mda mrefu big no, baba zetu wameajiriwa mpka kustaafu na hawajawah kushindwa kwa chochote, kiufupi kujiajiri sio kila mtu kaumbiwa
 
Ongezea na kushinda makanisani. Mwanaume akianza tu kukwsha, mara maombi sijui ya nini vile; kwisha habari yake.
Simaanishi wanaume waasi makanisa, NO! Ila kuna hatua unaona kabisa mwanaume wa kweli hakaribii
 
Hapo kwenye kuajiriwa mda mrefu big no, baba zetu wameajiriwa mpka kustaafu na hawajawah kushindwa kwa chochote, kiufupi kujiajiri sio kila mtu kaumbiwa
Baba ako ni baba ako ata yeye ukute anajilaumi kwa hilo.....simama kama wewe be a man
 
Wtf! Yaani wewe "mwanaume" unapata furaha sana ukikutana na "mwanaume" mwenye mienendo ya "kiume"?

Hivi hicho ulichokiandika wewe unaona ni cha kiume kabisa?
 
Back
Top Bottom