Mwanaume Kuwa Makini Na Haya Mambo Matatu

Mwanamme yeyote anayesikiliza bongo fleva lazima atakuwa na uwalakini tu
 
Wtf! Yaani wewe "mwanaume" unapata furaha sana ukikutana na "mwanaume" mwenye mienendo ya "kiume"?

Hivi hicho ulichokiandika wewe unaona ni cha kiume kabisa?
Usimkaripie, kumbuka anaweza kuwa ni kijana wa Dar huyo ama Tanga, Pemba, na Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…