katika mahusiano ya kimapenzi, wanaume wanatawaliwa na mcho na wanawake wanatawaliwa na masikio. ndio maana hata katika hali ya kawaida anayeanza kutoa neno ni mwanaume na ina kuwa baada ya kuona. mwanamke hata kama akipenda pahala atafanya namna ambayo itamfanya yule anayempenda aanze kusema neno na yeye asikie lile neno tamu.
mwanamke ni feelings.....zaidi.....
hata matendo ya mtu mwingine yakimpa feelings fulani tu...tayari..
kwenye harusi wengi huopolewa kirahisi,why?
harusi inawapa 'love feelings'....
Ilikuwa zamani mazee,siku hzi mshiko tu.
vipi kuhusu mabubu? Hasa mwanaume bubu akikutana na mwanamke kiziwi?
aaiseee!! Asante....
Dah!bro kwa situation hiyo hapo ni kumwachia mungu coz watazamaji mtapata majibu baada ya bidada mjamzito basi!vipi kuhusu mabubu? Hasa mwanaume bubu akikutana na mwanamke kiziwi?
Asante mkuu ni kweli kbs dah!katika mahusiano ya kimapenzi, wanaume wanatawaliwa na mcho na wanawake wanatawaliwa na masikio. ndio maana hata katika hali ya kawaida anayeanza kutoa neno ni mwanaume na ina kuwa baada ya kuona. mwanamke hata kama akipenda pahala atafanya namna ambayo itamfanya yule anayempenda aanze kusema neno na yeye asikie lile neno tamu.