aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
Wakuu,
Naomba mchango na mawazo yenu. Nina ndugu yangu mzee kidogo anasumbuliwa na maumivu chini ya kitovu. Wako wanasema ni ngiri lakini sio huwa inajitokeza mara nyingi akiwa kwenye sehemu ya baridi. Je,hii itakuwa ni ngiri kweli? Na tiba yake? Ameenda kwa wachina lakini wapi.
Ahsanteni.
Naomba mchango na mawazo yenu. Nina ndugu yangu mzee kidogo anasumbuliwa na maumivu chini ya kitovu. Wako wanasema ni ngiri lakini sio huwa inajitokeza mara nyingi akiwa kwenye sehemu ya baridi. Je,hii itakuwa ni ngiri kweli? Na tiba yake? Ameenda kwa wachina lakini wapi.
Ahsanteni.