Mwanaume mfupi kumuoa mwanamke mrefu

jamani hii aikwepeki nina ushaidi sana juu ya hili jambo yani wanawake wengi warefu wameolewa na wanaume wafupi mno, nina dada mmoja namfahamu ni mrefu kama mke wa obama aongezeke kidogo yan kaolewa na mwanaume mfupiiii sana sasa nyie wanawake ambao mnachagua nyie subirini tu mtashangaa mtazeekea nyumbani
 
Sema wanawake warefu wananikera kitu kimoja [emoji31][emoji31][emoji31]wote niliokutana naowanamapango hayo

Wanawake warefu mnisamehe bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha ni kweli kwan mtu anavyozidi kurefuka ndio ivo pango extend but short wanawake have very tight hadi unainjoi
 
Mtazaa mdoli
 
Umeona braza..huyo jamaa wanamkataa kwa sababu Hana mihela...ukiwa na mihela mbona unajigegedea mrembo mrefu utakae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji151] [emoji151] [emoji151] [emoji124] [emoji124]
 
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] kwa kuwa na wewe Kaka ni mfupi naomba nirudie kuomba samahani kwa kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila Duuh! Sitaki kuamini kwa kweli lol.

Atakupa picha soon.
 
Mwanamke mrefu akivaa gauni nyekundu anakuwa kama Pili Pili mbuzi vile

halafu wanawake warefu wanagubu hao, hawajui kupenda hata kazi lawama tuuu

Halafu wanawake warefu huwa wana naniliu nyembamba sanaaa na ndefuu
 
Mwanamke mrefu akivaa gauni nyekundu anakuwa kama Pili Pili mbuzi vile

halafu wanawake warefu wanagubu hao, hawajui kupenda hata kazi lawama tuuu

Halafu wanawake warefu huwa wana naniliu nyembamba sanaaa na ndefuu
Kah
 
Ufupi na urefu ni maumbile tu true love ipo ndani yamtu I love my Me too
 
Mwanamke mfupi anajua kupenda balaa, na wana mapenzi ya kweli

Halafu mwanamke mfupi akivaa gauni jekundu utadhani mtungi wa gesi wa ORYX........
Wanawake wafupi sio kujua mapenzi tu wanajua kuganda mtu hatari upumui yani
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…