proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
- Thread starter
-
- #61
Lini sasaWewe kama ni mfupi usiogope utapata tu muda ukifika.
Daaa ate kumbe ni mshaka lau hadi amengaaha mshiki we saakwa na sura ho avatatini ndiaa ta nae mseroHabari mshiki
Hahahaaaa. Lol. Hapana Swahiba yanaweza kufurahisha.Aiseee!!
Kwahiyo sisi maandunje yajayo yanaweza yasifurahishe?
Mwanamke mfupi anajua kupenda balaa, na wana mapenzi ya kweli
Halafu mwanamke mfupi akivaa gauni jekundu utadhani mtungi wa gesi wa ORYX........
Maana naona kila mwanamke hataki andunje, hata mwanamke andunje nae hataki andunje mwenzieHahahaaaa. Lol. Hapana Swahiba yanaweza kufurahisha.
Mzima lakini?
Hahahaaa. Umeonaeee. Na kwa hili yajayo yanasikitisha.Maana naona kila mwanamke hataki andunje, hata mwanamke andunje nae hataki andunje mwenzie
Nipo njema tu swahiba
Kuna muigizaji mmoja bongo movie anaitwa Tausi nilifurahi sana kumsikia nae anataka mwanaume mrefuHahahaaa. Umeonaeee. Na kwa hili yajayo yanasikitisha.
Ila sitaki kuamini kama na weye ni andunje Swahiba.
Hahahaaa. Nimeshamjua yule. Lol.Kuna muigizaji mmoja bongo movie anaitwa Tausi nilifurahi sana kumsikia nae anataka mwanaume mrefu
Kimo chàngu, wewe unanifikia unafikia usawa wa kifua
HahahahaHahahaaa. Nimeshamjua yule. Lol.
Duuh. Hongera zako Swahiba.
Madam, kwani ufupi unaanzia ngapi na urefu unaanzia ngapi? Kwa sababu wapo wale wanaosema "Mimi ni mfupi kwako si kwa wengine".Hahahaaa. Hujaliona Swali lenyewe kwani?
Au na weye mfupi nini?
Ngatekwa dovaita kumbe ife ni mseroInk
Lini sasa
Daaa ate kumbe ni mshaka lau hadi amengaaha mshiki we saakwa na sura ho avatatini ndiaa ta nae msero
Mmh.Ngatekwa dovaita kumbe ife ni msero
Hahahah, lugha ya gongana hiyo [emoji23] [emoji23]Mmh.
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kweli.Hahahah, lugha ya gongana hiyo [emoji23] [emoji23]
Huyu kazidi
Mimi nilidhani ni mwanamke kumbe ni mwanaume ndio maana kalalamika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na kweli.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Duuh.Mimi nilidhani ni mwanamke kumbe ni mwanaume ndio maana kalalamika[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]