proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
- Thread starter
-
- #141
Hio itakua fujo sasa na utakua humpendi si unanalii polepoleHata ukimvunja mapaja inapendeza zaidi
Ukiwa na mwanaume mrefu halafu hakuna upendo ndio utaelewa, mahusiano ni kuridhiana na UPENDO, mwenza hayakiwi kuwa kama nguo ya kutokea watu wakusifie.Hahahaa. Lol. Wanaume wafupi kazi mnayo kwa kweli.
Mtazaa mfupi mwenzenu tu hapo.
Kwa wanaume sasa inakuajenina experience ya mademu warefu...wafupi...everage height
1-warefu hawa huwa maringo sana ..hawajui kujishusha ukipanda nao wanapanda tena ombea asiwe mrefu alafu mweupe utakoma vinakuwa na kiburi balaa
2-everage height hawa huwa wanamapenzi motomoto wanajua kujishusha wananyenyekea ila asiwe kimbaumbau yani everage height kimbaumbau hawa huwa kama wanavuta bangi vile leo kapoa kesho kawaka... alafu watata sana
3- wafupi hahaha hapa sasa kama unahitaji mapenzi kama yote utayapata hapa wanapenda...wananyenyekea..wanajitoa kwa kila kitu kwenye uhusiano tatizo kubwa ni wivu hivi vijitu bwana vina wivu balaaa alafu hawaachiki yaani ukitaka kung'ang'aniwa ww date na mfupi alafu akiwa mfupi alafu kibonge weeee hawa wakipenda hawajui kuachwa ving'ang'anizi balaa
conclusion kama unataka mahaba mahabani date demu mfupi they know nini maana ya mapenzi
Kwa wanaume sasa inakuajenina experience ya mademu warefu...wafupi...everage height
1-warefu hawa huwa maringo sana ..hawajui kujishusha ukipanda nao wanapanda tena ombea asiwe mrefu alafu mweupe utakoma vinakuwa na kiburi balaa
2-everage height hawa huwa wanamapenzi motomoto wanajua kujishusha wananyenyekea ila asiwe kimbaumbau yani everage height kimbaumbau hawa huwa kama wanavuta bangi vile leo kapoa kesho kawaka... alafu watata sana
3- wafupi hahaha hapa sasa kama unahitaji mapenzi kama yote utayapata hapa wanapenda...wananyenyekea..wanajitoa kwa kila kitu kwenye uhusiano tatizo kubwa ni wivu hivi vijitu bwana vina wivu balaaa alafu hawaachiki yaani ukitaka kung'ang'aniwa ww date na mfupi alafu akiwa mfupi alafu kibonge weeee hawa wakipenda hawajui kuachwa ving'ang'anizi balaa
conclusion kama unataka mahaba mahabani date demu mfupi they know nini maana ya mapenzi
Na wanaumenina experience ya mademu warefu...wafupi...everage height
1-warefu hawa huwa maringo sana ..hawajui kujishusha ukipanda nao wanapanda tena ombea asiwe mrefu alafu mweupe utakoma vinakuwa na kiburi balaa
2-everage height hawa huwa wanamapenzi motomoto wanajua kujishusha wananyenyekea ila asiwe kimbaumbau yani everage height kimbaumbau hawa huwa kama wanavuta bangi vile leo kapoa kesho kawaka... alafu watata sana
3- wafupi hahaha hapa sasa kama unahitaji mapenzi kama yote utayapata hapa wanapenda...wananyenyekea..wanajitoa kwa kila kitu kwenye uhusiano tatizo kubwa ni wivu hivi vijitu bwana vina wivu balaaa alafu hawaachiki yaani ukitaka kung'ang'aniwa ww date na mfupi alafu akiwa mfupi alafu kibonge weeee hawa wakipenda hawajui kuachwa ving'ang'anizi balaa
conclusion kama unataka mahaba mahabani date demu mfupi they know nini maana ya mapenzi
Kwa wanaume sasa inakuaje
Hatari take ni nnbora mwanamke mfupi ila sio mwanaume maana ni hatari
Owkeymimi nimwanaume nimetoa experience yangu kwa girls so hapo kwa wanaume nahisi wasichana ndio wanaweza wakapaelezea
Hahahaaa. Kabisa Dada ake.Au ana pesa, au ndio ile hana option tena.
Sawa Zombi nimekuelewa.Ukiwa na mwanaume mrefu halafu hakuna upendo ndio utaelewa, mahusiano ni kuridhiana na UPENDO, mwenza hayakiwi kuwa kama nguo ya kutokea watu wakusifie.
Huyo tamaa tuuNi story tu hizo tu ila wapo wanaoolewa na ma andunje na unakuta mwanamke ni mrefu like twiga
Bnadam wote kuanzia kiunon kwenda juu wanalngana bla kujalsha m1n mrf na mwngne n mfupi.Tatizo sio ufupi tatizo wakat wa mambo yetu utakuwa na kazi ya kumvuta juu ili mle mate au busu
Mkuu umetokea misitu ya kongoMimi ni mfupi, feet 5.1 nina binti mrefu, ananipenda na matarajio yetu ni kuoana. Amenifanya niwe mwenye ujasiri. Upendo hauangalii, kimo au umri, ni kumpata tu mtu sahihi kwako. I can stress her, she can come down, sina hela, bado nina hustle but she encourages me na nafurahia kuwa katika mahusiano nae. So i will marry a tall Lady regardless my small height.
No thanksBnadam wote kuanzia kiunon kwenda juu wanalngana bla kujalsha m1n mrf na mwngne n mfupi.
PanawahusuNa sie warefu comments zetu zinakaa hapa kwenye huu uzi au kuna sehemu nyingine?
Mambo gani ya kuitana majina ya ajabu OK kumbe jina lake eee.Sawa Zombi nimekuelewa.
Mambo gani ya kuitana majina ya ajabu bro