Mwanaume mfupi kumuoa mwanamke mrefu

Mwanaume mfupi kumuoa mwanamke mrefu

nina experience ya mademu warefu...wafupi...everage height

1-warefu hawa huwa maringo sana ..hawajui kujishusha ukipanda nao wanapanda tena ombea asiwe mrefu alafu mweupe utakoma vinakuwa na kiburi balaa

2-everage height hawa huwa wanamapenzi motomoto wanajua kujishusha wananyenyekea ila asiwe kimbaumbau yani everage height kimbaumbau hawa huwa kama wanavuta bangi vile leo kapoa kesho kawaka... alafu watata sana

3- wafupi hahaha hapa sasa kama unahitaji mapenzi kama yote utayapata hapa wanapenda...wananyenyekea..wanajitoa kwa kila kitu kwenye uhusiano tatizo kubwa ni wivu hivi vijitu bwana vina wivu balaaa alafu hawaachiki yaani ukitaka kung'ang'aniwa ww date na mfupi alafu akiwa mfupi alafu kibonge weeee hawa wakipenda hawajui kuachwa ving'ang'anizi balaa

conclusion kama unataka mahaba mahabani date demu mfupi they know nini maana ya mapenzi
 
nina experience ya mademu warefu...wafupi...everage height

1-warefu hawa huwa maringo sana ..hawajui kujishusha ukipanda nao wanapanda tena ombea asiwe mrefu alafu mweupe utakoma vinakuwa na kiburi balaa

2-everage height hawa huwa wanamapenzi motomoto wanajua kujishusha wananyenyekea ila asiwe kimbaumbau yani everage height kimbaumbau hawa huwa kama wanavuta bangi vile leo kapoa kesho kawaka... alafu watata sana

3- wafupi hahaha hapa sasa kama unahitaji mapenzi kama yote utayapata hapa wanapenda...wananyenyekea..wanajitoa kwa kila kitu kwenye uhusiano tatizo kubwa ni wivu hivi vijitu bwana vina wivu balaaa alafu hawaachiki yaani ukitaka kung'ang'aniwa ww date na mfupi alafu akiwa mfupi alafu kibonge weeee hawa wakipenda hawajui kuachwa ving'ang'anizi balaa

conclusion kama unataka mahaba mahabani date demu mfupi they know nini maana ya mapenzi
Kwa wanaume sasa inakuaje
 
nina experience ya mademu warefu...wafupi...everage height

1-warefu hawa huwa maringo sana ..hawajui kujishusha ukipanda nao wanapanda tena ombea asiwe mrefu alafu mweupe utakoma vinakuwa na kiburi balaa

2-everage height hawa huwa wanamapenzi motomoto wanajua kujishusha wananyenyekea ila asiwe kimbaumbau yani everage height kimbaumbau hawa huwa kama wanavuta bangi vile leo kapoa kesho kawaka... alafu watata sana

3- wafupi hahaha hapa sasa kama unahitaji mapenzi kama yote utayapata hapa wanapenda...wananyenyekea..wanajitoa kwa kila kitu kwenye uhusiano tatizo kubwa ni wivu hivi vijitu bwana vina wivu balaaa alafu hawaachiki yaani ukitaka kung'ang'aniwa ww date na mfupi alafu akiwa mfupi alafu kibonge weeee hawa wakipenda hawajui kuachwa ving'ang'anizi balaa

conclusion kama unataka mahaba mahabani date demu mfupi they know nini maana ya mapenzi
Kwa wanaume sasa inakuaje
nina experience ya mademu warefu...wafupi...everage height

1-warefu hawa huwa maringo sana ..hawajui kujishusha ukipanda nao wanapanda tena ombea asiwe mrefu alafu mweupe utakoma vinakuwa na kiburi balaa

2-everage height hawa huwa wanamapenzi motomoto wanajua kujishusha wananyenyekea ila asiwe kimbaumbau yani everage height kimbaumbau hawa huwa kama wanavuta bangi vile leo kapoa kesho kawaka... alafu watata sana

3- wafupi hahaha hapa sasa kama unahitaji mapenzi kama yote utayapata hapa wanapenda...wananyenyekea..wanajitoa kwa kila kitu kwenye uhusiano tatizo kubwa ni wivu hivi vijitu bwana vina wivu balaaa alafu hawaachiki yaani ukitaka kung'ang'aniwa ww date na mfupi alafu akiwa mfupi alafu kibonge weeee hawa wakipenda hawajui kuachwa ving'ang'anizi balaa

conclusion kama unataka mahaba mahabani date demu mfupi they know nini maana ya mapenzi
Na wanaume
 
Na sie warefu comments zetu zinakaa hapa kwenye huu uzi au kuna sehemu nyingine?
 
Mimi ni mfupi, feet 5.1 nina binti mrefu, ananipenda na matarajio yetu ni kuoana. Amenifanya niwe mwenye ujasiri. Upendo hauangalii, kimo au umri, ni kumpata tu mtu sahihi kwako. I can stress her, she can come down, sina hela, bado nina hustle but she encourages me na nafurahia kuwa katika mahusiano nae. So i will marry a tall Lady regardless my small height.
Mkuu umetokea misitu ya kongo
 
Back
Top Bottom