Mwanaume mfupi kumuoa mwanamke mrefu

Mwanaume mfupi kumuoa mwanamke mrefu

nina experience ya mademu warefu...wafupi...everage height

1-warefu hawa huwa maringo sana ..hawajui kujishusha ukipanda nao wanapanda tena ombea asiwe mrefu alafu mweupe utakoma vinakuwa na kiburi balaa

2-everage height hawa huwa wanamapenzi motomoto wanajua kujishusha wananyenyekea ila asiwe kimbaumbau yani everage height kimbaumbau hawa huwa kama wanavuta bangi vile leo kapoa kesho kawaka... alafu watata sana

3- wafupi hahaha hapa sasa kama unahitaji mapenzi kama yote utayapata hapa wanapenda...wananyenyekea..wanajitoa kwa kila kitu kwenye uhusiano tatizo kubwa ni wivu hivi vijitu bwana vina wivu balaaa alafu hawaachiki yaani ukitaka kung'ang'aniwa ww date na mfupi alafu akiwa mfupi alafu kibonge weeee hawa wakipenda hawajui kuachwa ving'ang'anizi balaa

conclusion kama unataka mahaba mahabani date demu mfupi they know nini maana ya mapenzi
Duuh.
 
Nimejaribu kusikiliza story nyingi za wanawake warefu wanasema "sitaki kuolewa na mwaume mfupi"[emoji16] [emoji16] inamaana wafupi kwa wafupi na warefu kwa warefu Au Mwanaume mrefu kwa mwanamke mfupi.

Sasa sisi wanaume wafupi tukioa tena wanawake wafupi tutazaa kitu gani?

Wee wasikimbie na maringo yao. Ebu kamatia mihela tuone
 
Ewaaaaaaa. Natumai mdogo wangu waeza kuja na bonge la ufariji kwao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

IMG_20180802_131633.jpg

Genetics inasema hivi.

Kama picha inavyojieleza hapo.

Ufupi au urefu unarithiwa kutoka kwa wazazi kutokana na genes walizonazo wazazi.

Tuangalie jinsi inavyorithiwa.
t= short(inakilishe sifa ya ufupi)
T=Tall(sifa ya urefu)

Kuna resessive na Dorminant

Ikiwa resessive(tt) itaonesha ufupi.

Ikiwa Dorminant(Tt, TT) itaonesha urefu.

Sasa kama mwanaume ni mfupi mwenye Ressessive genes(tt) akimuoa mwanamke wenye Dorminant genes(TT) watapata watoto wao wote ni warefu lakini watoto watarithi sifa ya ufupi(t) kutoka kwa baba yao(angalia picha)

Kama mwanaume mfupi mwenye Resessive genes(tt) akimuoa mwanamke mrefu akiwa na mchanganyiko wa dorminant na resessive gene (Tt) watazaa watoto wafupi na warefu ila wale warefu watakuwa na mchanganyiko wa sifa ya ufupi na urefu.(Tt) (angalia picha hapo juu)

Kwa hiyo sio kila mwanaume mfupi akioa mwamke mrefu watazaa watoto wafupi na kinyume chake ni sawa
 
View attachment 824933
Genetics inasema hivi.

Kama picha inavyojieleza hapo.

Ufupi au urefu unarithiwa kutoka kwa wazazi kutokana na genes walizonazo wazazi.

Tuangalie jinsi inavyorithiwa.
t= short(inakilishe sifa ya ufupi)
T=Tall(sifa ya urefu)

Kuna resessive na Dorminant

Ikiwa resessive(tt) itaonesha ufupi.

Ikiwa Dorminant(Tt, TT) itaonesha urefu.

Sasa kama mwanaume ni mfupi mwenye Ressessive genes(tt) akimuoa mwanamke wenye Dorminant genes(TT) watapata watoto wao wote ni warefu lakini watoto watarithi sifa ya ufupi(t) kutoka kwa baba yao(angalia picha)

Kama mwanaume mfupi mwenye Resessive genes(tt) akimuoa mwanamke mrefu akiwa na mchanganyiko wa dorminant na resessive gene (Tt) watazaa watoto wafupi na warefu ila wale warefu watakuwa na mchanganyiko wa sifa ya ufupi na urefu.(Tt) (angalia picha hapo juu)

Kwa hiyo sio kila mwanaume mfupi akioa mwamke mrefu watazaa watoto wafupi na kinyume chake ni sawa
Hahaaaaa. Nilisema tu haya Wafupi njoooni mfarijike jamaani lol.

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Hahahaaa. Wanisamehe ninavyosema jinsi tabia zao zilivyo kwa baadhi yao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

wakusamehe nini mama ni wafupi wafupi tu kwani wewe ndio umewasasbabishia.
 
Mimi mke wangu ni mrefu alikuwa anapenda kuolewa na mwanaume mrefu matokeo yake kadondokea kwa mfupi
Na anakupenda kwelikweli.
Hahaaaaa. Nilisema tu haya Wafupi njoooni mfarijike jamaani lol.

[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Embu ngoja ni make the subjet
 
Back
Top Bottom