fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Huyo anatafuta namna ya kuishi bongo. Walivyo wabaguzi, sina hamu. Hawa magabacholi hawafai hata kidogo.1.Ana umri miaka 36
2.mwislamu
3.Yupo Dar ni injinia
4.Anataka mwanamke mtanzania kwa ajili ya kuishi nae kwa ndoa
5.Awe na umri 25-35
6.Ajue kiingereza
Huyo bwana nimekutana nae hapa mza alikuja kikazi na nikakutanishwa nae na rafiki yangu ambae anajua kuwa passion yangu ni kusaidia watu kuoana
Ni kweli kutamuBongo kumbe kutamu
Naomba na mimi dada😎Nipo
Naomba na mimi dada😎Nipo
Unaomba nini?Naomba na mimi dada😎
Naomba tamu 😋😋Unaomba nini?
Kila la heri kwenu shemejiNipo
hayo anajua lakini yeye anataka mkempe maelekezo namna uraia wa Tanzania unavyopatikana...
Asante shemKila la heri kwenu shemeji
Nishampata mumeNaomba tamu 😋😋
Nenda kwa Ras SimbaHapo ningejua kiingereza ningekuwa nishaolewa dah😢😢
Hadi nimalize kozi ntakuta kashapata mke🥲🥲Nenda kwa Ras Simba
No ..soma kwa faida yako .atatokeaga mthungu mbele kwa mbeleHadi nimalize kozi ntakuta kashapata mke🥲🥲