Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
Muda tatizo sina akitokea mzungu tutakuwa tunatumia AINo ..soma kwa faida yako .atatokeaga mthungu mbele kwa mbele
Jifunze tu..ongea hata na wanaokuzunguka. Utacatch fasta mie nafundishwa kifaransa na my sonMuda tatizo sina
Hongera, shida nimezungukwa na waswahili hawna muda wa kuongea kidhungu, ntajua nikipata bahati ya kwenda UlayaππJifunze tu..ongea hata na wanaokuzunguka. Utacatch fasta mie nafundishwa kifaransa na my son
Mpeleke kwa gigy money, au amber lulu1.Ana umri miaka 36
2.mwislamu
3.Yupo Dar ni injinia
4.Anataka mwanamke mtanzania kwa ajili ya kuishi nae kwa ndoa
5.Awe na umri 25-35
6.Ajue kiingereza
Huyo bwana nimekutana nae hapa mza alikuja kikazi na nikakutanishwa nae na rafiki yangu ambae anajua kuwa passion yangu ni kusaidia watu kuoana
Anza tu kujua grammar kwanza .nenda YouTube...huko mbeleni itakusiiaHongera, shida nimezungukwa na waswahili hawna muda wa kuongea kidhungu, ntajua nikipata bahati ya kwenda Ulayaππ
Sawa ntafanya hivyoAnza tu kujua grammar kwanza .nenda YouTube...huko mbeleni itakusiia
acheni utani kwenye vitu vya muhimuMpeleke kwa gigy money, au amber lulu
Kafursa hako...Abee
Pakistan hapana kwa kweli π π π π ingekuwa Hamas hapo sawaKafursa hako...
Mh! utaweza vita,ukute hata risasi ikilia unajikuta uvunguni.Pakistan hapana kwa kweli
NapendaMh! utaweza vita,ukute hata risasi ikilia unajikuta uvunguni.
Unapenda vita?Napenda
You don't want peace πNapenda
Wangekua siyo wabaguzi ungemkubalia?Huyo anatafuta namna ya kuishi bongo. Walivyo wabaguzi, sina hamu. Hawa magabacholi hawafai hata kidogo.
π π π π πYou don't want peace π
Ndio vinaamsha penziUnapenda vita?
labda ya 6Γ6 hivi vita vingine hata gobore haishtukiNdio vinaamsha penzi
πlabda ya 6Γ6 hivi vita vingine hata gobore haishtuki