Mwanaume Muislam safi anahitajika

Mwanaume Muislam safi anahitajika

Preciouss

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2017
Posts
339
Reaction score
276
Habari wadau...

Ukisikia bahati Sasa ndio hii. Najua Wapo ambao hawataelewa na kuchukulia utani lakini hili suala Ni serious Sana kutokana na mhusika mwenyewe.

Sifa.
Awe muislam
Miaka kuanzia 40 na kuendelea
Kazi mfanyakazi au mfanyabiashara
Makazi awe anaishi Dar.
Awe hajawahi oa au alioa akatalikiana pia akiwa na watoto ni sawa

Sifa za muhitaji
Rangi ya chungwa na tabasamu bashasha
Watoto 2( Wapo nje ya nchi hakai nao)
Ni mfanyabiashara.
Ni mjane

Mengine njoo pm ili ukutanishwe na mlengwa. Narudia kwa atakayefanikiwa kuelewana na Dada huyu basi ataishukuru JF mpaka mwisho wa maisha yake kwani sasa ataenda kuishi Dunia ya furaha na yenye asali na maziwa.
 
Wanaume wamekua adimu kiasi hicho hadi mndalaliana??
No thank you, kun new release ya watoto wa 95-2000
94-80
Fanyeni kujikuna hivi mfunge biashara jua limezama[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sio unavyodhani mhusika yupo busy na Mambo ya biashara na mazingira aliyozoea kusema kweli Mambo ya wachumba mitandaoni Kama bado pia alivyo wengi wanadhani anaye tayari
Usione hivyo wanawake Wapo so lonely Sana.
Ila Nina Imani hapa atapata mtu mine mwema.
Wakatisha tamaa wapo tu.
Na sio kwamba Ni mzee hapana hata 40 bado
 
Yahn hapo anataman yeye ndo awe mwanaume....??
Hafu huna ndugu au yyte umuunganishe mpka uje huku chaka la watu fake.
Hapa hakuna watu fake.
Mimi nawajua watu wengi tu hawapendi kujitangaza tu wamekutana humu
Kama fake labda Wewe BUT wengI humu Ni wema Japo Kuna wachache tu wenye kuchukulia utani kwa kila jambo
 
Huyo Dada anataka mtu serious 40 +
Na yupo serious kweli
Yupo lonely na kwa nature yake ya upole baada ya kufiwa anajikuta lonely na wengi wakijua ana mtu
So nawatoa shaka.
Nina Imani atakayefanikiwa
He will not regret
 
Hapo ndipo mnapofail. Mtu amekwama kuolewa ila bado anaweka masharti na vigezo luluki kwa mume mtarajiwa.

Mnadhani ni rahisi hivyo?
Hajakwama alifiwa tu Ni mjane
Unaelewa wenzetu Hawa wanavyojitunza hata maadili mazuri.
Niombee apate mtu mwema.
Ni Ile Sasa mtu wa vile anaogopwa wakidhani mtu ana mtu
 
Back
Top Bottom