Mm ni mwanamke wa kitanzania nimeajiriwa taasisi ya kiserikali lakini kutokana na kusoma nimechelewa kupata familia nahitaji mwanaume mwenye nia ya kuwa na mke asiwe mume wa mtu asiwe chini ya miaka 34 awe over 34 .asante
Hebu muache my wiiii nasubiri jibu lake tukatoe posaNjoo dm tuelewane
Basi njoo tuje tuyalize dm mara1Hebu muache my wiiii nasubiri jibu lake tukatoe posa
Mm ni mwanamke wa kitanzania nimeajiriwa taasisi ya kiserikali lakini kutokana na kusoma nimechelewa kupata familia nahitaji mwanaume mwenye nia ya kuwa na mke asiwe mume wa mtu asiwe chini ya miaka 34 awe over 34 .asante
Man Fujiβs sana π€£π€£π€£π€£Miaka imenikosesha mke
Hatuwezi kubagain jamani, mbona sisi wa chini ya hapo mnatutenga sasa!
Halafu hata we inabidi ufanyiwe mchakatoNina bother anahitaji mke nikuunganishe nae best au wifi yangu yangu mtarajiwa
ππHalafu hata we inabidi ufanyiwe mchakato
Hamna pesa π π π wakati mi ninazo na nina 27 yaani pesa ninayo shida matumiziMiaka imenikosesha mke
Hatuwezi kubagain jamani, mbona sisi wa chini ya hapo mnatutenga sasa!
Kila la kheri.......Mimi ni mwanamke wa Kitanzania nimeajiriwa taasisi ya kiserikali lakini kutokana na kusoma nimechelewa kupata familia nahitaji mwanaume mwenye nia ya kuwa na mke asiwe mume wa mtu asiwe chini ya miaka 34 awe over 34.
Asante