Mwanaume mwenye uhitaji wa wanawake wengi, hana furaha yeye mwenyewe

Mwanaume mwenye uhitaji wa wanawake wengi, hana furaha yeye mwenyewe

Joined
May 23, 2024
Posts
15
Reaction score
43
Mwanaume mwenye uhitaji na wanawake wengi, hana furaha na yeye mwenyewe.

Kwake kuwa na usikivu wa wanawake wengi, kunamsaidia kulisha nafsi yake, kuficha kutojiamini kwake.

Huyu mwanamume asiyejiamini, atacheza na hisia za wanawake wengi, huku akidhani ananufaika na kuongeza kujistahi kwake.

Ni hivi!, mwanamume wa kweli hahitaji zaidi ya mwanamke mmoja mzuri machoni pake; ambaye atawekeza muda na nguvu zake kwake.

Mwanaume wa kweli, hujithibitisha kwa kuwajibika na kuishi katika nafasi aliyoumbwa kwayo.

Mwanaume wa kweli hahitaji maelfu ya wanawake kumthibitisha wala kuelezea urijali wake.

Moyo wake hujaa mapenzi, kwa sababu anajipenda na kuyapenda maisha yake. Huyu huwa mtu na nusu.

Hujitambulisha kwa maneno machache na huacha muda uitambulishe kazi yake.

Huongoza maisha yake. Na popote atakapopata nafasi, athari yake chanya' huonekana mapema sana.

Husimama kama shujaa nyakati zote. Hutetea wanyonge, hali mkate wa dhuluma. Wala haongozwi na mihemko.

Sio mfitini, wala mwingi wa masengenyo. Sio mlevi wala tegemezi wa kihisia. Ana hadhi ya kuilinda.

Ni shujaa wa maisha yake mwenyewe. Hilo halimzuii kuthamini michango midogo midogo ya watu wengine kwenye maisha yake.

Anajua kuomba na kushukuru inapohitajika. Anajua kusema na kusikiliza kabla ya kutoa hukumu.

Ameibeba maana ya kichwa, na milango yake yote ya fahamu ajua kuitumia kwa hekima.

NGUVU YA MWANAUME WA KWELI NI MAARIFA AMBAYO HACHOKI KUYATAFUTA.

✍ Kungwi wa kisasa.
 
Anafuraha, unaweza kuta hana furaha na wewe, lakini anafuraha na wengine. Inabidi aongeze mwingine kuku replace wewe unaye muharibia furaha yake.
Hamna amani kwa watu wa aina hii. Wanawake wengi, hukengeusha mioyo mkuu.
 
Mwanaume mwenye uhitaji na wanawake wengi, hana furaha na yeye mwenyewe.

Kwake kuwa na usikivu wa wanawake wengi, kunamsaidia kulisha nafsi yake, kuficha kutojiamini kwake.

Huyu mwanamume asiyejiamini, atacheza na hisia za wanawake wengi, huku akidhani ananufaika na kuongeza kujistahi kwake.

Ni hivi!, mwanamume wa kweli hahitaji zaidi ya mwanamke mmoja mzuri machoni pake; ambaye atawekeza muda na nguvu zake kwake.

Mwanaume wa kweli, hujithibitisha kwa kuwajibika na kuishi katika nafasi aliyoumbwa kwayo.

Mwanaume wa kweli hahitaji maelfu ya wanawake kumthibitisha wala kuelezea urijali wake.

Moyo wake hujaa mapenzi, kwa sababu anajipenda na kuyapenda maisha yake. Huyu huwa mtu na nusu.

Hujitambulisha kwa maneno machache na huacha muda uitambulishe kazi yake.

Huongoza maisha yake. Na popote atakapopata nafasi, athari yake chanya' huonekana mapema sana.

Husimama kama shujaa nyakati zote. Hutetea wanyonge, hali mkate wa dhuluma. Wala haongozwi na mihemko.

Sio mfitini, wala mwingi wa masengenyo. Sio mlevi wala tegemezi wa kihisia. Ana hadhi ya kuilinda.

Ni shujaa wa maisha yake mwenyewe. Hilo halimzuii kuthamini michango midogo midogo ya watu wengine kwenye maisha yake.

Anajua kuomba na kushukuru inapohitajika. Anajua kusema na kusikiliza kabla ya kutoa hukumu.

Ameibeba maana ya kichwa, na milango yake yote ya fahamu ajua kuitumia kwa hekima.

NGUVU YA MWANAUME WA KWELI NI MAARIFA AMBAYO HACHOKI KUYATAFUTA.

✍ Kungwi wa kisasa.
Umesema ukweli mtupu. God bless you.
 
Mwanaume mwenye uhitaji na wanawake wengi, hana furaha na yeye mwenyewe.

Kwake kuwa na usikivu wa wanawake wengi, kunamsaidia kulisha nafsi yake, kuficha kutojiamini kwake.

Huyu mwanamume asiyejiamini, atacheza na hisia za wanawake wengi, huku akidhani ananufaika na kuongeza kujistahi kwake.

Ni hivi!, mwanamume wa kweli hahitaji zaidi ya mwanamke mmoja mzuri machoni pake; ambaye atawekeza muda na nguvu zake kwake.

Mwanaume wa kweli, hujithibitisha kwa kuwajibika na kuishi katika nafasi aliyoumbwa kwayo.

Mwanaume wa kweli hahitaji maelfu ya wanawake kumthibitisha wala kuelezea urijali wake.

Moyo wake hujaa mapenzi, kwa sababu anajipenda na kuyapenda maisha yake. Huyu huwa mtu na nusu.

Hujitambulisha kwa maneno machache na huacha muda uitambulishe kazi yake.

Huongoza maisha yake. Na popote atakapopata nafasi, athari yake chanya' huonekana mapema sana.

Husimama kama shujaa nyakati zote. Hutetea wanyonge, hali mkate wa dhuluma. Wala haongozwi na mihemko.

Sio mfitini, wala mwingi wa masengenyo. Sio mlevi wala tegemezi wa kihisia. Ana hadhi ya kuilinda.

Ni shujaa wa maisha yake mwenyewe. Hilo halimzuii kuthamini michango midogo midogo ya watu wengine kwenye maisha yake.

Anajua kuomba na kushukuru inapohitajika. Anajua kusema na kusikiliza kabla ya kutoa hukumu.

Ameibeba maana ya kichwa, na milango yake yote ya fahamu ajua kuitumia kwa hekima.

NGUVU YA MWANAUME WA KWELI NI MAARIFA AMBAYO HACHOKI KUYATAFUTA.

✍ Kungwi wa kisasa.
Watakuja wale watu
watakushambulia watasema kiongozi wao alioa 9 lakini kaamrisha wao waoe wa 4
 
Mwanaume mwenye uhitaji na wanawake wengi, hana furaha na yeye mwenyewe.

Kwake kuwa na usikivu wa wanawake wengi, kunamsaidia kulisha nafsi yake, kuficha kutojiamini kwake.

Huyu mwanamume asiyejiamini, atacheza na hisia za wanawake wengi, huku akidhani ananufaika na kuongeza kujistahi kwake.

Ni hivi!, mwanamume wa kweli hahitaji zaidi ya mwanamke mmoja mzuri machoni pake; ambaye atawekeza muda na nguvu zake kwake.

Mwanaume wa kweli, hujithibitisha kwa kuwajibika na kuishi katika nafasi aliyoumbwa kwayo.

Mwanaume wa kweli hahitaji maelfu ya wanawake kumthibitisha wala kuelezea urijali wake.

Moyo wake hujaa mapenzi, kwa sababu anajipenda na kuyapenda maisha yake. Huyu huwa mtu na nusu.

Hujitambulisha kwa maneno machache na huacha muda uitambulishe kazi yake.

Huongoza maisha yake. Na popote atakapopata nafasi, athari yake chanya' huonekana mapema sana.

Husimama kama shujaa nyakati zote. Hutetea wanyonge, hali mkate wa dhuluma. Wala haongozwi na mihemko.

Sio mfitini, wala mwingi wa masengenyo. Sio mlevi wala tegemezi wa kihisia. Ana hadhi ya kuilinda.

Ni shujaa wa maisha yake mwenyewe. Hilo halimzuii kuthamini michango midogo midogo ya watu wengine kwenye maisha yake.

Anajua kuomba na kushukuru inapohitajika. Anajua kusema na kusikiliza kabla ya kutoa hukumu.

Ameibeba maana ya kichwa, na milango yake yote ya fahamu ajua kuitumia kwa hekima.

NGUVU YA MWANAUME WA KWELI NI MAARIFA AMBAYO HACHOKI KUYATAFUTA.

✍ Kungwi wa kisasa.
Ukiandika kama mwanamke...........
 
Mwanaume mwenye furaha ni alozungukwa na mabikra ka 7 - 12 hivi mahali alipo na wengi wao hata ka wanafahamiana wanafurahii
....pochi nenee pochi neneee ...... tafta helaa
 
Mwanaume mwenye uhitaji na wanawake wengi, hana furaha na yeye mwenyewe.

Kwake kuwa na usikivu wa wanawake wengi, kunamsaidia kulisha nafsi yake, kuficha kutojiamini kwake.

Huyu mwanamume asiyejiamini, atacheza na hisia za wanawake wengi, huku akidhani ananufaika na kuongeza kujistahi kwake.

Ni hivi!, mwanamume wa kweli hahitaji zaidi ya mwanamke mmoja mzuri machoni pake; ambaye atawekeza muda na nguvu zake kwake.

Mwanaume wa kweli, hujithibitisha kwa kuwajibika na kuishi katika nafasi aliyoumbwa kwayo.

Mwanaume wa kweli hahitaji maelfu ya wanawake kumthibitisha wala kuelezea urijali wake.

Moyo wake hujaa mapenzi, kwa sababu anajipenda na kuyapenda maisha yake. Huyu huwa mtu na nusu.

Hujitambulisha kwa maneno machache na huacha muda uitambulishe kazi yake.

Huongoza maisha yake. Na popote atakapopata nafasi, athari yake chanya' huonekana mapema sana.

Husimama kama shujaa nyakati zote. Hutetea wanyonge, hali mkate wa dhuluma. Wala haongozwi na mihemko.

Sio mfitini, wala mwingi wa masengenyo. Sio mlevi wala tegemezi wa kihisia. Ana hadhi ya kuilinda.

Ni shujaa wa maisha yake mwenyewe. Hilo halimzuii kuthamini michango midogo midogo ya watu wengine kwenye maisha yake.

Anajua kuomba na kushukuru inapohitajika. Anajua kusema na kusikiliza kabla ya kutoa hukumu.

Ameibeba maana ya kichwa, na milango yake yote ya fahamu ajua kuitumia kwa hekima.

NGUVU YA MWANAUME WA KWELI NI MAARIFA AMBAYO HACHOKI KUYATAFUTA.

[emoji871] Kungwi wa kisasa.
We unaweza kusikiliza nyimbo moja kila siku hiyo hiyo
 
Mwanaume mwenye uhitaji na wanawake wengi, hana furaha na yeye mwenyewe.

Kwake kuwa na usikivu wa wanawake wengi, kunamsaidia kulisha nafsi yake, kuficha kutojiamini kwake.

Huyu mwanamume asiyejiamini, atacheza na hisia za wanawake wengi, huku akidhani ananufaika na kuongeza kujistahi kwake.

Ni hivi!, mwanamume wa kweli hahitaji zaidi ya mwanamke mmoja mzuri machoni pake; ambaye atawekeza muda na nguvu zake kwake.

Mwanaume wa kweli, hujithibitisha kwa kuwajibika na kuishi katika nafasi aliyoumbwa kwayo.

Mwanaume wa kweli hahitaji maelfu ya wanawake kumthibitisha wala kuelezea urijali wake.

Moyo wake hujaa mapenzi, kwa sababu anajipenda na kuyapenda maisha yake. Huyu huwa mtu na nusu.

Hujitambulisha kwa maneno machache na huacha muda uitambulishe kazi yake.

Huongoza maisha yake. Na popote atakapopata nafasi, athari yake chanya' huonekana mapema sana.

Husimama kama shujaa nyakati zote. Hutetea wanyonge, hali mkate wa dhuluma. Wala haongozwi na mihemko.

Sio mfitini, wala mwingi wa masengenyo. Sio mlevi wala tegemezi wa kihisia. Ana hadhi ya kuilinda.

Ni shujaa wa maisha yake mwenyewe. Hilo halimzuii kuthamini michango midogo midogo ya watu wengine kwenye maisha yake.

Anajua kuomba na kushukuru inapohitajika. Anajua kusema na kusikiliza kabla ya kutoa hukumu.

Ameibeba maana ya kichwa, na milango yake yote ya fahamu ajua kuitumia kwa hekima.

NGUVU YA MWANAUME WA KWELI NI MAARIFA AMBAYO HACHOKI KUYATAFUTA.

✍ Kungwi wa kisasa.
Mkuu vigumu sana mwanamke kuwa msemaji wa hisia na matamanio ya mwanaume and vice versa!!!

Jitahidi kufundisha wanawake wenzio yahusuyo wanawake, ya wanaume yaache, huyawezi!!!
 
Kungwi achana nao, hebu tufunde kuhusu mafiga matatu......mambo ya ndoo na kidumu🤣
 
Hata mifumo thabiti ni lazima iwe na disaster recovery site, mwanaume mwenye akili timamu hawezi kuwa na mwanamke mmoja hata nature inathibitisha hilo.
🙋‍♂️✍️📝👍👌👊👏🤝🙏💐🎁🗼🎖️🏆🛡️👑
 
Back
Top Bottom