Eeh ukitulizana unakula mema ya nchi ila ukijifanya joyce kiria utapokea kichapo tu cha kibaharia.Ni kweli kabisa. Ukimheshimu Mwanamume Ni kwa faida yako wewe Mwanamke. Tupunguze ujuaji.... !!! Mapenzi Matamu Jamani. Kupendwa Rahaaaaaa😄 Napendwa Mieeee😂
Wivu ni dalili ya kupenda kwa hakika 😂😂😂 ukiona huna wivu kwa mwanamke wako jua hujapendaHawa watu uwaga hawajui sa nyingine wivu wetu una maana kwamba wao ndo wana mawenge yaani unamuangalia mtu unaona kbs huyu akikutana na mtongozaji mzuri sijuiiiiiii
Sasa unakuwa km unalinda flani na hii inatokea ukiwa hutaki kumpoteza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wao wanabakia punguza wivu wakati sisi tushampima tunaona hapa bora niwe na wivu tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kinachotugharimu siku hizi wanawake tuliowengi tu nataka haki sawa na wanaume kitu ambacho haiwezekani..Ni kweli kabisa. Ukimheshimu Mwanamume Ni kwa faida yako wewe Mwanamke. Tupunguze ujuaji.... !!! Mapenzi Matamu Jamani. Kupendwa Rahaaaaaa😄 Napendwa Mieeee😂
Wewe ni kisanga basta sikutaki 😆😆😆😆😆Kanuni ni ile ile...Ukitaka kula sharti ukubali kuliwa! Sasa we unataka kula bila kuliwa? Haiwezekani!~ J. Kikwete
Translation:
Ukitaka hela lazma ukubali kuchakatwa kwanza. Huwezi kula hela ya mtu bure bure.
Kuhusu biashara ndipo hali ilipofikia sasa. Wanawake wengi wanatuuzia mapenzi kama machangu tu tofauti ni kwamba mfumo wao sio wa kujipanga barabarani.
Hamna bana lips denda 😍 mi napenda mwanamke anayejielewa yeye ni mwanamke kiakili na kimwili.Wewe ni kisanga basta sikutaki 😆😆😆😆😆
Ila unaonekana wewe ni yule Leta miyeyusho nikuzibue😁😁😁mwandiko wako unasema hivyo
Kumbe ndivyo ulivyo basta..Ohoo hakyanani tena nakuja kukudanga😅😅kumbe shida ni kukuheshimu Na kukutii...Hamna bana lips denda 😍 mi napenda mwanamke anayejielewa yeye ni mwanamke kiakili na kimwili.
Nikipenda nakuwa full charge, sipendelei mwanamke kidomo domo au mjuaji mjuaji. Mwanamke awe tender and loving na mtu wa kunikirimu vyema na kunipa nafasi ya ku exercise character za kiume.
sana bibie, huku mimba ni bure kabisa.Kumbe ndivyo ulivyo basta..Ohoo hakyanani tena nakuja kukudanga😅😅kumbe shida ni kukuheshimu Na kukutii...View attachment 1660165😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝
Chizi kabisa wewe😆😆😆😆😆eti nini....kuna magadi humu😅😅Karibu
sana bibie, huku mimba ni bure kabisa.
Magadi ya nini tena, au unaunga K kama mboga nawwChizi kabisa wewe😆😆😆😆😆eti nini....kuna magadi humu😅😅
Naomba nikuache we mtu😅😅😅😅Magadi ya nini tena, au unaunga K kama mboga naww
Wewe ni kisanga basta sikutaki [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ila unaonekana wewe ni yule Leta miyeyusho nikuzibue[emoji16][emoji16][emoji16]mwandiko wako unasema hivyo
Umepata PTSD. Hahaha!Toka roho itake kuacha mwili nimeachana na habari za wivu kabisa-yule mwanamke kidogo aniue kwa mambo aliyoyafanya. Kuizoea ile hali ilinichukua zaidi ya mwaka na mpaka leo sijapona na kuwa na wivu sitaki tena wala kuingia kwa miguu miwili kwa MTU.
Believe me yakikukuta recovery yake siyo kazi rahisi 😭😭😭Umepata PTSD. Hahaha!
No3 imenigusaHuo wivu ,umefikia hatua gan??
Kundi A..
1-Anashika simu yako ila haongei zaidi ya kujikoosha kama Mtanzania aliyekua anajisaidia chooo che pazia tu kisha akasikia mtu anakuja choon!!
2--Kila mara anashika simu yako na anakuuliza maswali ,mara hii namba yanan?? Mbona imekupigia sanaa??nani amekuambia Mambo???
3--Anashika, anakuuliza na anakupa kipondo kama mbwa koko ???
Kundi B
1--Ana kupa muda wa kutoka na Kurudi nyumban
2--Unatoka kwaajili ya kazi ila kila muda anakupigia simu na video
3--Unatoka ila ole wako akukite umesimama njian na Jamaa
4---Hutoki kabisaa yaan nakazi kakuachisha
5--Hutoki yaan hata kwa mashost huendi, hata kwa ndugu huendi. Yaaan hadi kwa wazazi wako kapiga pini.
Suluhisho
1--Kama anadalili moja ya kundi A na hana hata moja ya kundi B au anayo Moja .,.,.... Ongea naye kiutu uzima.
2--Kama anazo mbili za Kundi A na moja ya kundi B..... Anza kua makini
3--kama anazaidi ya mbili za kundi A nambili za kundi B....... Anza harakati za kuachana na huyo Mbwa , Nikwamba yeye anagonga wa wengine. Ila hataki kugongewa, kwa mantiki iyo kuna siku MTAJIPA KESI.