Mwanaume mwenzio kukwambia weekend hii nikutoe out ni sahihi?

Mwanaume mwenzio kukwambia weekend hii nikutoe out ni sahihi?

Heri kwenu ninyi nyote mabibi, mashangazi na mabwana!

Hii tabia naiona imenifanya niwe na wasiwasi na rafiki yangu. Labda pengine ni hisia zangu na mawazo yangu.

Kisa kipo Hivi

Jamaa tulikuwa tunafanya nae kazi mgodi× na Mimi ndo nilkuwa trainer wake upande wa machine za drilling (uchorogaji)

Basi akajua kazi vizuri maana nilimpa madini yote na sikuwahi mbania kumpa machine bidii yake ndo ilimfanya ajue mapema japo yeye ni mkubwa ananizid miaka3 mbele.

Baada ya kujua basi yeye alifanikiwa kwenda nje na kwakweli hajawahi nisahau!

Yupo nje nchi za kiarabu huko ndo anapiga kazi.

Sasa amerudi mapumziko hivi karibuni. Tumekuwa tukipiga story kadhaa wa kadhaa kama kawaida sie ma men kuambiana fala, mseng* ni kawaida tu.

Wala sio kwamba umekasirka la hasha neno kama qumamae una liwa nk Huwa tunatumia bila mipka tukiwa wenyewe.

Shida kubwa ni hili neno analo niambia weekend hii anitoe out. Tena anasisitiza kabisa.

Nimemwambia mimi sie demu wala mwanamke lakini bado anasema siku hizi hata wanaume wanatolewa out kama kawaida.

Nimemwambia sihitaji hiyo out yake ni nikamwambia waarabu wamekuharibu fala wewe.

Naona kachukia baada ya kumwambia hivyo namimi sina shida ya out yake.

Nimewaza sana imagine wife asikie naambiwa au nimuage kuwa rafiki yangu ananitoa out week hii asee naamini nitazaralika sana.

Kwenu wadau ni Sasa?

Picha haiusiani na kilichoandikwa ni makanisa yalipo underground sehemu fulani.

Kwaiyo unachoogopa ni nini ili tukusaidie ushauri
 
Juzi nilikuwa nimekaa bar moja nasogeza masaa wakaja jamaa wawili kaunta wakanunua Dompo 1, wakatafuta meza wakawa wanaipiga mande wawili.

Nilishangaa sana, wanaume mna share vipi wine.

Nikasema any way labda wapo date, maana mji mpana huu.
 
Juzi nilikuwa nimekaa bar moja nasogeza masaa wakaja jamaa wawili kaunta wakanunua Dompo 1, wakatafuta meza wakawa wanaipiga mande wawili.

Nilishangaa sana, wanaume mna share vipi wine.

Nikasema any way labda wapo date, maana mji mpana huu.
Mkuu huyu jamaangu kanipa uwalakin mkubwa sana. Sina shida na out yake
 
Yaani kuambiwa unaliwa si tatizo ni usela tu ila kuambiwa nikutoe out tayari ni tatizo.

Mm ninachoona usela umezidi mmeanza kuyaamini mnayoambiana.
Hata mie nimeshangaa hapo, khaaaah
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ni mawazo ya kijinga tu, sasa unachoogopa uyo mshkaji wako atakushikisha ukuta? na hata kama dhamira yake ikiwa ni iyo wewe hautaweza kukataa?

Haya mambo tunayakuza tu kutokana na kampeni za upinde kuenea. Miaka ya nyuma kidogo tulikua tunaangalia ze comedy familia nzima joti alikua anaigiza kama mwanamke au mpemba fulani laini laini anarembua macho na tulikua tunaona burudani ila ukiigiza ivyo sasa hivi utaambiwa shoga.

Ni stereotype za kijinga tu.
Yaan ninapochoka mie hapo tyuuh, kuwa mtu km hutaki ushoga si unabaki huko kwenye u straight, kwan lazima. Aaaah.
Maana watu wana fikra za kiwaki kweliii.
 
Juzi nilikuwa nimekaa bar moja nasogeza masaa wakaja jamaa wawili kaunta wakanunua Dompo 1, wakatafuta meza wakawa wanaipiga mande wawili.

Nilishangaa sana, wanaume mna share vipi wine.

Nikasema any way labda wapo date, maana mji mpana huu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu mtakufa mmechokaa ujue. Khaaah
 
uko tu in
Heri kwenu ninyi nyote mabibi, mashangazi na mabwana!

Hii tabia naiona imenifanya niwe na wasiwasi na rafiki yangu. Labda pengine ni hisia zangu na mawazo yangu.

Kisa kipo Hivi

Jamaa tulikuwa tunafanya nae kazi mgodi× na Mimi ndo nilkuwa trainer wake upande wa machine za drilling (uchorogaji)

Basi akajua kazi vizuri maana nilimpa madini yote na sikuwahi mbania kumpa machine bidii yake ndo ilimfanya ajue mapema japo yeye ni mkubwa ananizid miaka3 mbele.

Baada ya kujua basi yeye alifanikiwa kwenda nje na kwakweli hajawahi nisahau!

Yupo nje nchi za kiarabu huko ndo anapiga kazi.

Sasa amerudi mapumziko hivi karibuni. Tumekuwa tukipiga story kadhaa wa kadhaa kama kawaida sie ma men kuambiana fala, mseng* ni kawaida tu.

Wala sio kwamba umekasirka la hasha neno kama qumamae una liwa nk Huwa tunatumia bila mipka tukiwa wenyewe.

Shida kubwa ni hili neno analo niambia weekend hii anitoe out. Tena anasisitiza kabisa.

Nimemwambia mimi sie demu wala mwanamke lakini bado anasema siku hizi hata wanaume wanatolewa out kama kawaida.

Nimemwambia sihitaji hiyo out yake ni nikamwambia waarabu wamekuharibu fala wewe.

Naona kachukia baada ya kumwambia hivyo namimi sina shida ya out yake.

Nimewaza sana imagine wife asikie naambiwa au nimuage kuwa rafiki yangu ananitoa out week hii asee naamini nitazaralika sana.

Kwenu wadau ni Sasa?

Picha haiusiani na kilichoandikwa ni makanisa yalipo underground sehemu fulani.

Upo tu insecure tu bro!!
kwaiyo isingekua mkeo kusikia unatolewa out usinge jali……
 
Back
Top Bottom