Haya mkuu. Kama umepatwa na wasiwasi upo sawa.Kwa sababu sijawahi ambiwa na Nina miaka mingi mzigoni. Na sio kwamba hatuendi kula Bata Huwa tunaenda ila sio kutoana out
Kwaiyo unachoogopa ni nini ili tukusaidie ushauriHeri kwenu ninyi nyote mabibi, mashangazi na mabwana!
Hii tabia naiona imenifanya niwe na wasiwasi na rafiki yangu. Labda pengine ni hisia zangu na mawazo yangu.
Kisa kipo Hivi
Jamaa tulikuwa tunafanya nae kazi mgodi× na Mimi ndo nilkuwa trainer wake upande wa machine za drilling (uchorogaji)
Basi akajua kazi vizuri maana nilimpa madini yote na sikuwahi mbania kumpa machine bidii yake ndo ilimfanya ajue mapema japo yeye ni mkubwa ananizid miaka3 mbele.
Baada ya kujua basi yeye alifanikiwa kwenda nje na kwakweli hajawahi nisahau!
Yupo nje nchi za kiarabu huko ndo anapiga kazi.
Sasa amerudi mapumziko hivi karibuni. Tumekuwa tukipiga story kadhaa wa kadhaa kama kawaida sie ma men kuambiana fala, mseng* ni kawaida tu.
Wala sio kwamba umekasirka la hasha neno kama qumamae una liwa nk Huwa tunatumia bila mipka tukiwa wenyewe.
Shida kubwa ni hili neno analo niambia weekend hii anitoe out. Tena anasisitiza kabisa.
Nimemwambia mimi sie demu wala mwanamke lakini bado anasema siku hizi hata wanaume wanatolewa out kama kawaida.
Nimemwambia sihitaji hiyo out yake ni nikamwambia waarabu wamekuharibu fala wewe.
Naona kachukia baada ya kumwambia hivyo namimi sina shida ya out yake.
Nimewaza sana imagine wife asikie naambiwa au nimuage kuwa rafiki yangu ananitoa out week hii asee naamini nitazaralika sana.
Kwenu wadau ni Sasa?
Picha haiusiani na kilichoandikwa ni makanisa yalipo underground sehemu fulani.
Kutolewa outKwaiyo unachoogopa ni nini ili tukusaidie ushauri
Uhakika wal usingeona Uzi hapaAngesema mwanangu twende huku kinahappen 😀😀
Wee fala tuNenda out na mwanaume mwenzio acha use-nge kuwaza mambo ya ushoga kum-amama-keee
Kwamba huko Out atakufanyaje? elezea vizuriKutolewa out
Mkuu huyu jamaangu kanipa uwalakin mkubwa sana. Sina shida na out yakeJuzi nilikuwa nimekaa bar moja nasogeza masaa wakaja jamaa wawili kaunta wakanunua Dompo 1, wakatafuta meza wakawa wanaipiga mande wawili.
Nilishangaa sana, wanaume mna share vipi wine.
Nikasema any way labda wapo date, maana mji mpana huu.
TakoKwamba huko Out atakufanyaje? elezea vizuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa, LolUnaweza shangaa wife akakwambia 'mwambie atoke na mimi Kama wewe hutaki'
#ni matani tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anakuchukulia poa.
Ungemkwida apite mbali na hizo tabia alizotoa huko uarabuni
Hata mie nimeshangaa hapo, khaaaahYaani kuambiwa unaliwa si tatizo ni usela tu ila kuambiwa nikutoe out tayari ni tatizo.
Mm ninachoona usela umezidi mmeanza kuyaamini mnayoambiana.
Yaan ninapochoka mie hapo tyuuh, kuwa mtu km hutaki ushoga si unabaki huko kwenye u straight, kwan lazima. Aaaah.Ni mawazo ya kijinga tu, sasa unachoogopa uyo mshkaji wako atakushikisha ukuta? na hata kama dhamira yake ikiwa ni iyo wewe hautaweza kukataa?
Haya mambo tunayakuza tu kutokana na kampeni za upinde kuenea. Miaka ya nyuma kidogo tulikua tunaangalia ze comedy familia nzima joti alikua anaigiza kama mwanamke au mpemba fulani laini laini anarembua macho na tulikua tunaona burudani ila ukiigiza ivyo sasa hivi utaambiwa shoga.
Ni stereotype za kijinga tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angesema mwanangu twende huku kinahappen [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu mtakufa mmechokaa ujue. KhaaahJuzi nilikuwa nimekaa bar moja nasogeza masaa wakaja jamaa wawili kaunta wakanunua Dompo 1, wakatafuta meza wakawa wanaipiga mande wawili.
Nilishangaa sana, wanaume mna share vipi wine.
Nikasema any way labda wapo date, maana mji mpana huu.
Diddy alimtatua linda muandaaji wa muziki.50 CENT ALIAMBIWA NA P DIDDY ATOLEWE OUT AKAFANYIWE SHOPPING JAMAA ANASEMA ALITAKA KUMPIGA DIDDY SHABA .
haihusiani na mada ila nimeona bora ujue tu , ila mkuu usiwazie watu mambo mabaya maybe jamaa ana maana nzuri tu 😀😀
Akapita nalo shwaaaaaaaaahDiddy alimtatua linda muandaaji wa muziki.
Upo tu insecure tu bro!!Heri kwenu ninyi nyote mabibi, mashangazi na mabwana!
Hii tabia naiona imenifanya niwe na wasiwasi na rafiki yangu. Labda pengine ni hisia zangu na mawazo yangu.
Kisa kipo Hivi
Jamaa tulikuwa tunafanya nae kazi mgodi× na Mimi ndo nilkuwa trainer wake upande wa machine za drilling (uchorogaji)
Basi akajua kazi vizuri maana nilimpa madini yote na sikuwahi mbania kumpa machine bidii yake ndo ilimfanya ajue mapema japo yeye ni mkubwa ananizid miaka3 mbele.
Baada ya kujua basi yeye alifanikiwa kwenda nje na kwakweli hajawahi nisahau!
Yupo nje nchi za kiarabu huko ndo anapiga kazi.
Sasa amerudi mapumziko hivi karibuni. Tumekuwa tukipiga story kadhaa wa kadhaa kama kawaida sie ma men kuambiana fala, mseng* ni kawaida tu.
Wala sio kwamba umekasirka la hasha neno kama qumamae una liwa nk Huwa tunatumia bila mipka tukiwa wenyewe.
Shida kubwa ni hili neno analo niambia weekend hii anitoe out. Tena anasisitiza kabisa.
Nimemwambia mimi sie demu wala mwanamke lakini bado anasema siku hizi hata wanaume wanatolewa out kama kawaida.
Nimemwambia sihitaji hiyo out yake ni nikamwambia waarabu wamekuharibu fala wewe.
Naona kachukia baada ya kumwambia hivyo namimi sina shida ya out yake.
Nimewaza sana imagine wife asikie naambiwa au nimuage kuwa rafiki yangu ananitoa out week hii asee naamini nitazaralika sana.
Kwenu wadau ni Sasa?
Picha haiusiani na kilichoandikwa ni makanisa yalipo underground sehemu fulani.
Diddy ni mchafu kweli kweli kapita na wasanii wakiume wengi sana aisee naskia hata hapa bongo kuna mwanamuziki alienda kwenye party za diddy na akasema kwa mdomo wake kwamba walifanya mambo ambayo hawezi kuyataja hadharani.Diddy alimtatua linda muandaaji wa muziki.