Mwanaume mzima unakula chipsi kuku unaacha dona na mihogo

Sasa baba yangu kafa na angekuwepo angekupiga miti hadi uzimie na kudanga ni mamaako ndio anadanga ndio maana umeadhirika kwenye akili unajua kudanga tu

Nilikuwa naona wanakuonea wanao kutukana kumbe unataka mwenyewe
 
Nilikuwa naona wanakuonea wanao kutukana kumbe unataka mwenyewe
Hapana huwezi kunisingizia uongoo mie ukiwa mchokozi tunachafuana tu hadi uchoke .

Mie nataka maisha ya utani kwani ulivyoambiwa sikweeli unasema uongo mbwa ni watatu majina manne
 
Hapana huwezi kunisingizia uongoo mie ukiwa mchokozi tunachafuana tu hadi uchoke .

Mie nataka maisha ya utani kwani ulivyoambiwa sikweeli unasema uongo mbwa ni watatu majina manne

Basi yaishe mimi huwa sipendi ukorofu hasa na wameru
 
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Tafuta furaha yako kwanza.
maisha yetu madogo na yamejaa taabu. kama chips ni tamu kwanini usile.
Somo la chakula ni primary. kuna nchi nyingi hawatumii ugali so wao inakuwaje?
Nitafutie hizo inchi zipo ngapi afrika. Hatuongelei ulaya.
 
So kwa hayo yote uliyojifunza ila bado haujajiuliza kati ya mzungu na mwafrika ni nani ana mwili imara sana inapokuja swala la afya.

Huoni wazungu mafua tu wanalazwa hospital na drips juu. Sisi waafrika mafua tutapiga chafya mbili tatu na tunaamka nayo asubuhi tunakwenda nayo kazini na maisha yanakwenda.

Ila wafrika upumbavu wa kujicompare na wazungu sijui kama utatuisha.
 
Hapa tunaongelea "food value" na siyo "immune" ya mtu.

Tuacheni kuunganisha "topic" nyie!

Halafu unaongea kwa jazba utadhani mzungu ni specie nyingine ya binadamu!

Enhe, tuambie sasa bwana mkubwa, immune system ya mwili wako inaletwa na ugali wa dona😆😆😆😆!

Sicheki kwa kebehi, bali ninacheka kwa sifa, babangu hakunipatia elimu ya kukariri.
 
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23] ila na ww acha kubalikabadika sura bwana avatar mpya kila siku we ni me au ke sasa funguka bac au uje PM
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu wakiitwa manyani na masokwe wanapovukwa, eti ubaguzi kumbe ndo ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…