Mwanaume ni lazima ukunje ngumi kwa mkeo?

Mwanaume ni lazima ukunje ngumi kwa mkeo?

This is the worst scenario.....mke anapata manundu toka kwa hawara......
Guesswork: mke ni mzaliwa wa kure kure kwetu poti.....

Kuna wengine wanapigwa na BF/Mchumba????????? can you imagine this? mtu hata hatimiliki hajapewa lakini anakudunda?????
 
hehehe halaf kuna mjomba mmoja pembeni kule kwenye picha anaenjoy mpambano na anashushia kwa kopo ya chang'aa.
 
Kuna wengine wanapigwa na BF/Mchumba????????? can you imagine this? mtu hata hatimiliki hajapewa lakini anakudunda?????
Kipi kizuri? kudundwa kabla au kudundwa baadae??? si huwa hamtaki mtu amabye hawi himself wakati mkiwa wachumba G/F - B/F?
 
NAMSHUKURU mUNGU SIPENDI MAKELELE NA MWENZANGU ANAJUA HILO! SASA NAWE KAMA MWENZIO KAWA VUVUZELA SI UONDOKE HAPO USIMSIKILIZE?

.....mama niondoke niende wapi tena? nikiondoka ndo nakutana na kina''Mom'' wapole, wanamwogopa mungu, hawana makuu....no vuvuzelas.....sasa yeye anakuwa kapata nini? hapo ndio mwanzo wa kuvujika kwa ndoa.....! dawa ni kichapo, vunja mivuvuzela...maisha yanaenda.....!
 
inategemeana, cha kwanza, inategemeana na kosa alilolifanya mkeo...ndo maana hata wanaume kwa wanaume hawapigani hivihivi, inategemeana na kosa alilolifanya opponent wako. chukulia mfano unamfumania mkeo, au unakuta analijamaa wanabusiana etc, au unajikuta mkeo amekuandika kwenye hirizi aliyoficha chumbani kwako anataka kukuua ili achukua mali ulizochuma kwasababu wewe umemuoa yeye juzijuzi tu hapa...kuna mambo mengi sana yanaweza kumprovoke mtu akajikuta amempiga mwanamke pasipo akili yake, ndo inayoitwa provocation, unapokuja kustuka kuwa unampiga mtu, umeshamaliza kazi. THATS WHY NIMESEMA INATEGEMEANA.

pia, inategemeana na watu hao kama wameokoka na Mungu anawasaidia kuwashindia dhambi au la. Mtu kama hajaokoka, kuna siku tu atapiga mkewe, na wewe mke kama jamaa lako halijaokoka, kuna siku litakutandika tu, its just a matter of time. WHY, ni kwasababu roho ya ukatili ya makata inaweza kumwingia mtu yeyote ambaye hajaokoka popote pale, na ulizi pekee ni kuokoka uli Damu ya Yesu iwe ndani yako mapepo yasikuingie...ukiwa haujaokoka, lolote laweza kutokea...pia, nyie mnaochukua vimada, hivyo vinyumba vidogo huwa vinaweka dawa toka kwa waganga ya kuwagombanisha ninyi na wake zenu, utamtandika mkeo bila hata kujijua, siku unapokuja kustuka madawa yakiisha nguvu, ameshakuchuna, kahamia kwa bwana mwingine, na wewe umepoteza watoto na mkeo wa ndoa au watoto wanahangaika kwa kwashakoo uliwatelekeza na kimada kakomba hela zote umefukuzwa kazi mifuko yote nje....macho pafupafupafuuuu.

kuna sababu nyingi zinazofanya wanandoa kupigana, ndo maana nasema inategemeana, narudia tena inategemeana.

nilipokuwa duniani huko misri, nilimtwanga sana mke wangu, na ikichukulia mimi nilikuwa na black belt ya karate, lakini nilipookoka, ile roho iliondoka na sijui ilienda wapi, sasaivi nachukia kupigana, hata kwenye tv nikiona watu wanapigana either boxing au karate hata mikanda ya action huwa naondoka sipendi hata kuangalia, Yesu huyo anafnaya mabadiliko ndani ya mtu. ndoa yangu ina upendo kama wakati ule tulipokuwa wachumba wabichi..yaani upendo ule mtamuuuuu, na wengi huwa wanatushangaa tunapoitana honey na darling hadi leo baada ya miaka mingi ya ndoa yetu..NASUBIRIA VIRUNGU TOKA KWENU NAJUA WENGI MTANITANDIKA KWA KAULI HII, LAKINI UKWELI NDO HUO~
 
inategemeana, cha kwanza, inategemeana na kosa alilolifanya mkeo...ndo maana hata wanaume kwa wanaume hawapigani hivihivi, inategemeana na kosa alilolifanya opponent wako. chukulia mfano unamfumania mkeo, au unakuta analijamaa wanabusiana etc, au unajikuta mkeo amekuandika kwenye hirizi aliyoficha chumbani kwako anataka kukuua ili achukua mali ulizochuma kwasababu wewe umemuoa yeye juzijuzi tu hapa...kuna mambo mengi sana yanaweza kumprovoke mtu akajikuta amempiga mwanamke pasipo akili yake, ndo inayoitwa provocation, unapokuja kustuka kuwa unampiga mtu, umeshamaliza kazi. THATS WHY NIMESEMA INATEGEMEANA.

pia, inategemeana na watu hao kama wameokoka na Mungu anawasaidia kuwashindia dhambi au la. Mtu kama hajaokoka, kuna siku tu atapiga mkewe, na wewe mke kama jamaa lako halijaokoka, kuna siku litakutandika tu, its just a matter of time. WHY, ni kwasababu roho ya ukatili ya makata inaweza kumwingia mtu yeyote ambaye hajaokoka popote pale, na ulizi pekee ni kuokoka uli Damu ya Yesu iwe ndani yako mapepo yasikuingie...ukiwa haujaokoka, lolote laweza kutokea...pia, nyie mnaochukua vimada, hivyo vinyumba vidogo huwa vinaweka dawa toka kwa waganga ya kuwagombanisha ninyi na wake zenu, utamtandika mkeo bila hata kujijua, siku unapokuja kustuka madawa yakiisha nguvu, ameshakuchuna, kahamia kwa bwana mwingine, na wewe umepoteza watoto na mkeo wa ndoa au watoto wanahangaika kwa kwashakoo uliwatelekeza na kimada kakomba hela zote umefukuzwa kazi mifuko yote nje....macho pafupafupafuuuu.

kuna sababu nyingi zinazofanya wanandoa kupigana, ndo maana nasema inategemeana, narudia tena inategemeana.

nilipokuwa duniani huko misri, nilimtwanga sana mke wangu, na ikichukulia mimi nilikuwa na black belt ya karate, lakini nilipookoka, ile roho iliondoka na sijui ilienda wapi, sasaivi nachukia kupigana, hata kwenye tv nikiona watu wanapigana either boxing au karate hata mikanda ya action huwa naondoka sipendi hata kuangalia, Yesu huyo anafnaya mabadiliko ndani ya mtu. ndoa yangu ina upendo kama wakati ule tulipokuwa wachumba wabichi..yaani upendo ule mtamuuuuu, na wengi huwa wanatushangaa tunapoitana honey na darling hadi leo baada ya miaka mingi ya ndoa yetu..NASUBIRIA VIRUNGU TOKA KWENU NAJUA WENGI MTANITANDIKA KWA KAULI HII, LAKINI UKWELI NDO HUO~

haya kaka ubungoubungo!
 
.....mama niondoke niende wapi tena? nikiondoka ndo nakutana na kina''Mom'' wapole, wanamwogopa mungu, hawana makuu....no vuvuzelas.....sasa yeye anakuwa kapata nini? hapo ndio mwanzo wa kuvujika kwa ndoa.....! dawa ni kichapo, vunja mivuvuzela...maisha yanaenda.....!

hakuna solution nyingine zaidi ya kupiga? mi nafikiri makelele yakizidi nawe unaona hasira zinakaribia kulipuka toka nje ya hapo ulipo, nenda somewhere lakini kwa kina dasophy hakuna soln huko. hasira zikipoa rudi hom ukaongee na mkeo chanzo cha makelel yake, vuvuzela halipigwi bila sababu
 
hakuna solution nyingine zaidi ya kupiga? mi nafikiri makelele yakizidi nawe unaona hasira zinakaribia kulipuka toka nje ya hapo ulipo, nenda somewhere lakini kwa kina dasophy hakuna soln huko. hasira zikipoa rudi hom ukaongee na mkeo chanzo cha makelel yake, vuvuzela halipigwi bila sababu

actually, ukiona mwanaume anampiga mwanamke kwa migongano ya ndani chumbani kwao tu ambayo mtu anaweza kuvumilia na kujifanya mjinga siku ipite, au akalisolve kwa njia ya kidiplomasia, basi huyo mwanamme anakuwa na mapungufu sana ya akili. migongano midogomidogo ya ndani si rahisi watu kupigana. Nilishawai kuwa na jirani yangu ambaye alimkuta mkewe kachimba chini ya kitanda chao ameweka hirizi na akaziba kwa cement kabisa ikawa sakafu ya kawaida, mle kwenye hirizi alimwandika jina akamhesabia hadi siku za kuishi...jirani hakuelewa kinachoendelea hadi pale alipokuja kustuka amempiga mkewe na watu kibao wamekusanyika mtaaani...na anaanza kujilaumu kwamba kwanini nimepiga?...

kupigana kokote kule kusikoetokea kwasababu ya provocation, ni ujinga. ukipigana na mwanamke wote mnakuwa na akili sawa, yaani wote mnakuwa wanawake...ili wewe uonekane mwanaume, inabidi utulie, uishinde hasira.

chukulia mfano mwanaume ni mlevi, akirudi kila siku lazima akusalimia kwa tusi la nguoni na kibano...hapo inakuwa pombe ndo inamwendesha kukupiga. mwanaume kumpiga mwanamke si kitu rahisi sana nawambieni, ni kigumu sana kumpiga mkeo ambaye unatarajia akufurahishe kitandani usiku unaofuata. ukiona hivyo, basi kuna mapungufu mengi either kwa upande wa mwanaume au mwanamke..mfano ulevi, kufumaniana, madawa etc. na nyie wanawake mnaochangia humu, msijione mko salama sana, kama wanaume zenu bado walevi, wanywaji wanaoweza kuwekewa chochote kwenye glass ya bia na baamedi etc, kama hawajaokoka, lolote laweza kutokea kuanzia sasa...cha maana kimbilieni kwa Mungu, na mumuombe Mungu awaokoe hao wanaume zetu. tunaweza kuwa tunaongea hapa kumbe leo usiku ni zamu yako..utafanya nini, utafungasha urudi kwenu? utarudi kwenu na kesho yake jamaa hasira zimemtoka, pombe zimemtoka etc na anakupenda tena...haiepukiki hii kama bado mko misri...subirini siku yenu tu..mtatandikwa tu hata kama watawaahidi kuwa hawatawapiga..watawapiga tu...
 
actually, ukiona mwanaume anampiga mwanamke kwa migongano ya ndani chumbani kwao tu ambayo mtu anaweza kuvumilia na kujifanya mjinga siku ipite, au akalisolve kwa njia ya kidiplomasia, basi huyo mwanamme anakuwa na mapungufu sana ya akili. migongano midogomidogo ya ndani si rahisi watu kupigana. Nilishawai kuwa na jirani yangu ambaye alimkuta mkewe kachimba chini ya kitanda chao ameweka hirizi na akaziba kwa cement kabisa ikawa sakafu ya kawaida, mle kwenye hirizi alimwandika jina akamhesabia hadi siku za kuishi...jirani hakuelewa kinachoendelea hadi pale alipokuja kustuka amempiga mkewe na watu kibao wamekusanyika mtaaani...na anaanza kujilaumu kwamba kwanini nimepiga?...

kupigana kokote kule kusikoetokea kwasababu ya provocation, ni ujinga. ukipigana na mwanamke wote mnakuwa na akili sawa, yaani wote mnakuwa wanawake...ili wewe uonekane mwanaume, inabidi utulie, uishinde hasira.

chukulia mfano mwanaume ni mlevi, akirudi kila siku lazima akusalimia kwa tusi la nguoni na kibano...hapo inakuwa pombe ndo inamwendesha kukupiga. mwanaume kumpiga mwanamke si kitu rahisi sana nawambieni, ni kigumu sana kumpiga mkeo ambaye unatarajia akufurahishe kitandani usiku unaofuata. ukiona hivyo, basi kuna mapungufu mengi either kwa upande wa mwanaume au mwanamke..mfano ulevi, kufumaniana, madawa etc. na nyie wanawake mnaochangia humu, msijione mko salama sana, kama wanaume zenu bado walevi, wanywaji wanaoweza kuwekewa chochote kwenye glass ya bia na baamedi etc, kama hawajaokoka, lolote laweza kutokea kuanzia sasa...cha maana kimbilieni kwa Mungu, na mumuombe Mungu awaokoe hao wanaume zetu. tunaweza kuwa tunaongea hapa kumbe leo usiku ni zamu yako..utafanya nini, utafungasha urudi kwenu? utarudi kwenu na kesho yake jamaa hasira zimemtoka, pombe zimemtoka etc na anakupenda tena...haiepukiki hii kama bado mko misri...subirini siku yenu tu..mtatandikwa tu hata kama watawaahidi kuwa hawatawapiga..watawapiga tu...
Kwenye red, shows what kind of a man you are!!! no wonder you were beating your wife!!
 
Kwenye red, shows what kind of a man you are!!! no wonder you were beating your wife!!

hapo kwenye redi unayosema wewe ndo unapotakiwa kuelewa. tatizo watu wengine ni wanafiki hawataki kusema ukweli halisi. sijui kama wewe ni mwanaume au mwanamke. lakini kama mwanaume ukimkuta mkeo kalala anazini na mwanaume mwingine, kama wewe ni mwanadamu wa kawaida na watu wengine, either utaanguka chini uzirai, au utapatwa na hasira kali ya ajabu inayoweza kukufanya ufanye maamuzi mabaya. sishabikii kupigana, kwangu mimi kupigana ni dhambi...lakini kwasababu si wote wanaoamini hivyo humu jf, nimeongea kuwajumuisha na wengine kwamba, kwenu nyie ambao bado mko duniani, kupigana kwaweza kutokea wakato wowote...

nipe gender yako kwanza ndo nitapata namna ya kukuelewesha vizuri. usiongelee ushabiki, ongelea kitu cha kweli. wanadamu wote hawapigani hivihivi tu...labda uwe mkurya unayefanya hivyo kudumisha mila...lakini kama si hivyo, kuna sababu nyingi sana ambazo zinafanya wanandoa wengi kupigana...na nimependa kuongnea kuwa honest kabisa ili watu wajue ukweli na namna ya kulizuia hili..mimi si mtu wa kufuata upepo kama wewe.
 
Body language haionyeshi ka kuna ngumi apo, hao wanacheza kombolela:closed_2:
 
gentleman hawezi kufanya hivyo...hao wanaopiga wanawake ni wanaume wa hovyo sana

Unajua nini kina wafanya wanaume wakunje ngumi? Najua kabisa kuwa gentlemen hawezi kufanya hivyo, lakini akifanya hivyo basi ujue pia kuna kasoro kwa upande wa mwanamke zinazomfanya asiwe na qualities za lady. Mwanaume hata awe mhuni kiasi gani hawezi hata kuinua mkono kwa lady. I know kuna adhabu more hurting kwa wanawake kuliko hata kuliko ngumi na makofi. Lakini ajabu ni kuwa wanawake wengi wakikosa wanachagua adhabu ya kupigwa kuliko adhabu nyingine(has to be a slap though sio ngumi, ngumi are not meant for woemn),
 
yaani hiyo siku mtu anyanyue mkono wake anipige ................duh lazima ndo asahau kama kuna mwanamke mimi! no stop hadi polisi. lol


We Gaijin wewe!

Kuna mwenzio mmoja alijifanya kama hivyo hapo juu baada ya akili kutulia na akakumbuka "michomo" :A S tongue:ya Mzee..........yeye mwenyewe akaenda kumsamehe! Mapenzi ni sawa na ukichaa!

Bado nasema si kustaarabika kumkunjia ngumi isipokuwa vibao viwili vitatu!:A S tongue:
 
Hivi mwanaume ni lazima ukunje ngumi kwa mkeo?
Alafu unatembeza kipigo huku umevua sharti kama unapambana na dume.
KAKA, sio lazima mwanamke kupigwa, na kama m'ke umepata bahati ya mume ambaye si mpigaji unashukuru mungu, mitaani huku tunakoishi mambo mengi sana tunayashudia huku ya ajabu sana, wengi wanapigwa, wengine manapiga na wengine wanapigana ilimradi tu ni vurugu.
 
Back
Top Bottom