Mwanaume ni nini kifanyike ili kuweka uhusiano mzuri baina ya wazazi na wake zetu

Mwanaume ni nini kifanyike ili kuweka uhusiano mzuri baina ya wazazi na wake zetu

Jack Daniel

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
2,912
Reaction score
12,904
Salaam jamiiforum hope my wazima.

Jamani maisha ndiyo haya haya,utake usitake bado utaishi kwenye mfumo wa maisha ya watu wengi. Ukijipata kidogo kimaisha ukawa na uwezo fulani basi umetengeneza vita na uhasama

Leo niongelee hii kadhia ya wazazi kuhisi wana haki Kula matunda ya kijana wao (yaani wewe) na mara nyingi familia za kimaskini ndizo zenye hizi changamoto hizi

Kwanza,

Wamekuzaa ,wamekukuza,na kukusomesha,hivyo wanahisi Wana haki ya lazima,yaani unapaswa kuwasaidia.

Lakini pili mke naye kujiona ni mwenye haki kuliko wazazi wako.kuna vitu anavikumbuka na kuviorodhesha na kuhisi yeye ni mwenye haki kwako,anaweza kukupangia Mshahara,na mipango yako iweje,wapo ambao ukilegea Sana unaweza kusagau wazazi wako.

Je ,nini kifanyike, kubalance mambo ili usionekane wewe ni boya au umelishwa limbwata,au mke kuhisi humpendi?

Toa maoni yako mwanabodi.
Karibu.
 
Wote ni kiasi.
Kwani wangekataa kukupeleka shule ungefanya nini na huo unao ita mshahara ungeupata vipi?
Mke wangu nimekutana naye ukubwani so hiyo haki ya mshahara wangu anaitoa wapi? Labda kama huko nchini kwenu mna katiba ya mtindo huo
 
Tuachane na kugeza maisha ya wazungu, inaeleweka wazi kwenye jamii zetu za kiafrika sana sana za iwezo wa chini tunasomeshwa na kupambaniwa kwa kila hali ili na sisi turudishe fadhira mfano kuwainua madogo tunaowaacha home au kuwahudumia wazazi tukijipata.

Obvious wazazi ni wa kuwapa kipaumbele zaidi. Katika ulimwengu wa leo ambao mwanamke kapewa uhuru na access zote za kujiingizia kipato hakuna sababu inayomfanya mke awe tegemezi kwa mume.

Vijana tuepuke kuoa wanawake masikini. Your wife is your partner not your resonsibility
 
Haitawahi kutokea maana wake zenu ni washirikina asilimia kubwa hawakuolewa kihalali wengine wamechukua nyota za watu akakupata , wengine wameiba mabwana za watu pia ukae ujue hilo .

So ndugu zako wakija wanajua huyu ni ameingia kwenye ndoa sio kihalali nikiuchawi ndio visa vinaanz aga hapo . Kingine mke anaweza awe mwema na ndugu zako niw achawi so lazima wapishane
 
mara nyingi familia za kimaskini ndizo zenye hizi changamoto hizi
Familia ya mkeo ya kitajiri?. Inakuwaje mkeo aujue mshahara wako?. Hebu jiulize suali hili mshahara wako unatoa matumizi ya nyumbani kwako, Jee mshahara wa mkeo unakwenda wapi?.

Unaweza kusema wewe haukuhusu lakini ukweli mshahara wake unakwenda kwao kwa wazazi wake na ndugu zake. Mkija talikiana hapo ndio utaanza kusema hajawahi kununua lolote hapa nyumbani kwanini tugawe mali sawa?.

Saidia wazee mkuu achana na kupangiwa mshahara wako, wazazi wako nao wangelikuwa nao wanaupanga mshahara wao juu ya elimu yako ungelifika hapo ulipo?.
 
Sijui ni aina gani ya wanawake mnaoa, binafsi karibu mwaka wa kumi wa kuishi na mwanamke hajui nimepata nini nimekosa nini na ninani nimempa nini, sana nachohakikisha wajibu wangu nautimiza ,palipo na udhuru tunaelekezana.

Sambamba na hilo mimi sifuatilii issue zake ila akiwa na uhitaji wa msaada wangu natekeleza.
 
Salaam jamiiforum hope my wazima.

Jamani maisha ndiyo haya haya,utake usitake bado utaishi kwenye mfumo wa maisha ya watu wengi. Ukijipata kidogo kimaisha ukawa na uwezo fulani basi umetengeneza vita na uhasama

Leo niongelee hii kadhia ya wazazi kuhisi wana haki Kula matunda ya kijana wao (yaani wewe) na mara nyingi familia za kimaskini ndizo zenye hizi changamoto hizi

Kwanza,

Wamekuzaa ,wamekukuza,na kukusomesha,hivyo wanahisi Wana haki ya lazima,yaani unapaswa kuwasaidia.

Lakini pili mke naye kujiona ni mwenye haki kuliko wazazi wako.kuna vitu anavikumbuka na kuviorodhesha na kuhisi yeye ni mwenye haki kwako,anaweza kukupangia Mshahara,na mipango yako iweje,wapo ambao ukilegea Sana unaweza kusagau wazazi wako.

Je ,nini kifanyike, kubalance mambo ili usionekane wewe ni boya au umelishwa limbwata,au mke kuhisi humpendi?

Toa maoni yako mwanabodi.
Karibu.
Mke mwenye malengo ya kukushika vyovyote utakavyofanya atakulaumu,muhimu Wazazi unawahurumia bila kukuelekeza, mke analishwa na kuvishwa bila kukushikilia, matatizo ya wazazi na mke wako yanachangiwa na wewe kutokuelewa nani haki yake ni ipi na umpe bila shinikizo, ukijitambua mpe Kila mmoja haki yake endelea na maisha, na ukiwa hai si shida sana shida ni ukikata moto je hiyo Mali anachukua nani? Katika Uislamu na hii ndo njia naikubali, Baba ana asilimia zake, mama ana asilimia zake, Mme/Mke ana asilimia zake, watoto wakike Wana asilimia zao, watoto wakiume Wana asilimia zao, sio ukifa Mali yote achukue mke na watoto hapana, Baba, mama, Mme,/mke, watoto Kila Moja ana sehemu yake anachukua hiyo kwangu ni safi kabisa.
 
Wote ni kiasi.
Kwani wangekataa kukupeleka shule ungefanya nini na huo unao ita mshahara ungeupata vipi?
Mke wangu nimekutana naye ukubwani so hiyo haki ya mshahara wangu anaitoa wapi? Labda kama huko nchini kwenu mna katiba ya mtindo huo
Wazo Zuri
 
Tuachane na kugeza maisha ya wazungu, inaeleweka wazi kwenye jamii zetu za kiafrika sana sana za iwezo wa chini tunasomeshwa na kupambaniwa kwa kila hali ili na sisi turudishe fadhira mfano kuwainua madogo tunaowaacha home au kuwahudumia wazazi tukijipata.

Obvious wazazi ni wa kuwapa kipaumbele zaidi. Katika ulimwengu wa leo ambao mwanamke kapewa uhuru na access zote za kujiingizia kipato hakuna sababu inayomfanya mke awe tegemezi kwa mume.

Vijana tuepuke kuoa wanawake masikini. Your wife is your partner not your resonsibility
Point hii
 
Mke mwenye malengo ya kukushika vyovyote utakavyofanya atakulaumu,muhimu Wazazi unawahurumia bila kukuelekeza, mke analishwa na kuvishwa bila kukushikilia, matatizo ya wazazi na mke wako yanachangiwa na wewe kutokuelewa nani haki yake ni ipi na umpe bila shinikizo, ukijitambua mpe Kila mmoja haki yake endelea na maisha, na ukiwa hai si shida sana shida ni ukikata moto je hiyo Mali anachukua nani? Katika Uislamu na hii ndo njia naikubali, Baba ana asilimia zake, mama ana asilimia zake, Mme/Mke ana asilimia zake, watoto wakike Wana asilimia zao, watoto wakiume Wana asilimia zao, sio ukifa Mali yote achukue mke na watoto hapana, Baba, mama, Mme,/mke, watoto Kila Moja ana sehemu yake anachukua hiyo kwangu ni safi kabisa.
Point hii
 
Sijui ni aina gani ya wanawake mnaoa, binafsi karibu mwaka wa kumi wa kuishi na mwanamke hajui nimepata nini nimekosa nini na ninani nimempa nini, sana nachohakikisha wajibu wangu nautimiza ,palipo na udhuru tunaelekezana.

Sambamba na hilo mimi sifuatilii issue zake ila akiwa na uhitaji wa msaada wangu natekeleza.
Upo vizuri
 
Familia ya mkeo ya kitajiri?. Inakuwaje mkeo aujue mshahara wako?. Hebu jiulize suali hili mshahara wako unatoa matumizi ya nyumbani kwako, Jee mshahara wa mkeo unakwenda wapi?.

Unaweza kusema wewe haukuhusu lakini ukweli mshahara wake unakwenda kwao kwa wazazi wake na ndugu zake. Mkija talikiana hapo ndio utaanza kusema hajawahi kununua lolote hapa nyumbani kwanini tugawe mali sawa?.

Saidia wazee mkuu achana na kupangiwa mshahara wako, wazazi wako nao wangelikuwa nao wanaupanga mshahara wao juu ya elimu yako ungelifika hapo ulipo?.
point hii
 
Haitawahi kutokea maana wake zenu ni washirikina asilimia kubwa hawakuolewa kihalali wengine wamechukua nyota za watu akakupata , wengine wameiba mabwana za watu pia ukae ujue hilo .

So ndugu zako wakija wanajua huyu ni ameingia kwenye ndoa sio kihalali nikiuchawi ndio visa vinaanz aga hapo . Kingine mke anaweza awe mwema na ndugu zako niw achawi so lazima wapishane
Hatari sana
 
Mke abaki na majukumu yake ya ndan kwake mambo yako na wazaz wako asiyaguse Wala kuingilia anachotakiwa ni kuhakikisha mume anatimiza majukumu ndan swala la mume kusaidia wazaz wake Hilo halimuhusu maana mmekutana ukubwan na amekukuta unasaidia wazaz wako

Endapo mume akasahau majukumu yake ndan Kwa mke wake na kubase na wazaz na ndugu zake bas mke Hana bud kuhoji na kuchukua hatua [emoji4]
 
Back
Top Bottom