Mwanaume pata breakfast hii

Mwanaume pata breakfast hii

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Maji ya moto robo lita, yaliyochanganywa na asali mbichi vijiko vitano, na kijiko kidogo cha kitunguu saumu cha kusaga shushia na mayai mawili ya kuchemsha hasa ya kienyeji daily

CHORDS THAT ARE WEAK WILL VIBRATE ONCE MORE
 
maji ya moto robo lita, yaliyochanganywa na asali mbichi vijiko vitano, na kijiko kidogo cha kitunguu saumu cha kusaga shushia na mayai mawili ya kuchemsha hasa ya kienyeji daily

CHORDS THAT ARE WEAK WILL VIBRATE ONCE MORE

Kaka breakfast hii kwanini inachagua wanaume tu🙂
 
Weka label ya "dawa ya kuongeza uume au nguvu za kiume" ndo wengi watajaribu.
 
Ni bora utujuze hii breakfast inasaidia nini kwa wanaume na hayo maji ni ya moto au huo mchanganyiko unauchemsha au laa.
 
yaan.babu wa loliondo angeleta kikombe cha nguv za kiume angekuwa na pesa za kununua mkoa
sababu kuna majanga deile ya kiumen
 
yaan.babu wa loliondo angeleta kikombe cha nguv za kiume angekuwa na pesa za kununua mkoa
sababu kuna majanga deile ya kiumen
Ni kwa afya na kupungusa vitambi na manyama usembe siko huko mnakofikiri
 
Maji ya moto robo lita, yaliyochanganywa na asali mbichi vijiko vitano, na kijiko kidogo cha kitunguu saumu cha kusaga shushia na mayai mawili ya kuchemsha hasa ya kienyeji daily

CHORDS THAT ARE WEAK WILL VIBRATE ONCE MORE

Doh... hii inatakiwa ufanye muda gani? Najaribu kufikiria hatufu ya mdomo....
 
Back
Top Bottom