Akinambia Bishanga nifute kauli yangu ntafuta ila wewe hapana!
Aaah mkuu kwani Bishanga ni jinsia gani..... Mbona umesema wanaume siyo watu? Ndiyo maana nikakuomba ufute kauli kwa ajili ya vidume wote..na Bishanga akiwa ndani yao.
Mi sijali,we nenda uendako,rudi asubuhi,mtoto aumwe poa tu nitampeleka amana,nizae na wewe unifanyie vituko,unalala huko huko,waongo sana wanaume,umalaya tu,mnatutesa sana lakini mjue yote kwa yote mtato....bewa tu...........niko uswazi hapa napost live ishu, mdada anamwaga sera wakati tunasubiria mechi ya barca/real madrid.
Mi sijali,we nenda uendako,rudi asubuhi,mtoto aumwe poa tu nitampeleka amana,nizae na wewe unifanyie vituko,unalala huko huko,waongo sana wanaume,umalaya tu,mnatutesa sana lakini mjue yote kwa yote mtato....bewa tu...........niko uswazi hapa napost live ishu, mdada anamwaga sera wakati tunasubiria mechi ya barca/real madrid.
sweetlady, harusi yako na nani? hivi ndugu yangu nitonye mligombana nini? halafu ujue Vin Diesel hakufai,mwingi sana huyo mkaka.Hehehehe anitengenezee aringe lol.....hiyo ni picha ya ile harusi yangu nilokwambia mwezi uliopita!
hapana mkuu ilikuwa ni keko makurumbasi kwa mama havintishi.
hapana mkuu ilikuwa ni keko makurumbasi kwa mama havintishi.
sweetlady, harusi yako na nani? hivi ndugu yangu nitonye mligombana nini? halafu ujue Vin Diesel hakufai,mwingi sana huyo mkaka.
naona wanitafutia ban wewe.........
naona wanitafutia ban wewe.........
Usijali sweethrt.....asikutishe huyo.....mimi na wewe mpaka kifo kitutenganishe!