mwanaume sio mtu

mwanaume sio mtu

Kuna mambo mnakera sana ndio maana mnaonekana sio watu. Ila huyo dada nae kajiabisha,
 
Mi sijali,we nenda uendako,rudi asubuhi,mtoto aumwe poa tu nitampeleka amana,nizae na wewe unifanyie vituko,unalala huko huko,waongo sana wanaume,umalaya tu,mnatutesa sana lakini mjue yote kwa yote mtato....bewa tu...........niko uswazi hapa napost live ishu, mdada anamwaga sera wakati tunasubiria mechi ya barca/real madrid.

Nimeshtushwa na kicha cha thread kwani nami ni mwanume, lakini kumbe issue ni mwanaume 'irresponsible' na sio biological properties. Je, huko anakokwenda si kwa wanawake, je hao wanawake ni watu?
 
Mi sijali,we nenda uendako,rudi asubuhi,mtoto aumwe poa tu nitampeleka amana,nizae na wewe unifanyie vituko,unalala huko huko,waongo sana wanaume,umalaya tu,mnatutesa sana lakini mjue yote kwa yote mtato....bewa tu...........niko uswazi hapa napost live ishu, mdada anamwaga sera wakati tunasubiria mechi ya barca/real madrid.

Bila shaka itakuwa ni MWANANYAMALA KWA ALI MANJUNJU
 
Correction! Mnaoana.
Ennie alokwambia nani? haiyaiya kuolewa ntarudi nyumbani kutembea,kwa heri ndugu zangu kuonana majaliwa,haiyia kuolewa,luolewa......
hivi maneno haya aliyaimba bishanga?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom