Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Mwanaume kunukia kikwapa bana, kuna wengine ukipishana nao kama umepishana na jini vile kwa mwanaume ikizidi sana ni shida.Hio namba mbili ina walakini. Kunukia ni mapenzi ya mtu na wala sio hafai.
Sasa unataka wanaume watembee wananuka vibeberu inahusu?!
Hili kwel halifai mkuu unakuta mdingi kila siku yy ni kuzubaa home na kueka kiti home cha kukaa masaa yaende alaf wife kaulamba katoka jion ndo anarud9. kuwa baba wa nyumbani wakati mke wako anafanya kazi.
3&4 nakazia1-Kula hovyo barabarani.
2-Kujipulizia marashi .
3-Kubishana na wanawake.
4-Kukaa sehemu moja na wanawake wengi.
5-Kuvuta sigara barabarani na huu ni ulimbukeni.
6-Kulewa kijinga hadi ubebwe.
7-Kuvaa nguo hasa kaptula za kubana.
8______________ embu endeleeni.
KAMA UNA HIZO TABIA ACHA USITETEE SIO NZURI KWA MWANAUME LIJALIKila mtu aishi maisha yake
Huo muda wa kuchunguliana mnautoa wapi asee
unakuta mwanamke akipata mshahara mwanaume anaomba pocket money, na huko kukaa nyumbani mwisho wake ni kuchepuka na mfanyakazi wa ndani.Hili kwel halifai mkuu unakuta mdingi kila siku yy ni kuzubaa home na kueka kiti home cha kukaa masaa yaende alaf wife kaulamba katoka jion ndo anarud