Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pakiwasha utafanyaje sasa zaidi ya kukuna?
Unforgetable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu hapo kujipulizia marashi embu tuache kidocho bhanaa.1-Kula hovyo barabarani.
2-Kujipulizia marashi .
3-Kubishana na wanawake.
4-Kukaa sehemu moja na wanawake wengi.
5-Kuvuta sigara barabarani na huu ni ulimbukeni.
6-Kulewa kijinga hadi ubebwe.
7-Kuvaa nguo hasa kaptula za kubana.
8______________ embu endeleeni.
Hawa ndio wale wanaonuuuka basi zima harufu kali ya jasho ni yake basi zimaHio namba mbili ina walakini. Kunukia ni mapenzi ya mtu na wala sio hafai.
Sasa unataka wanaume watembee wananuka vibeberu inahusu?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pakiwasha utafanyaje sasa zaidi ya kukuna?
Unforgetable
Subiri lile joto la dar lianze, utawashuhudia mabaharia na mamaharia walotembelewa na fungus wakifanya yao barabarani kabisa amor[emoji3][emoji3][emoji3]
Subiri lile joto la dar lianze, utawashuhudia mabaharia na mamaharia walotembelewa na fungus wakifanya yao barabarani kabisa amor[emoji3][emoji3][emoji3]
Unforgetable