Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Una madeni tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
Nyie ndio mnaochelewesha mchakato wa katiba mpyaLeo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
Maskini akipata inaitwa hio muache limbukeniHahaha umeandika kwa hisia kama wanaume Wa jamii forum wote unawafahamu , Magari tunayo ila hatufanyi ujinga broh
Sasa wewe mbona hutafuti pesa una azima toyota na madeni juu??Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni meng
Ni hawa hawa wajinga😅Nyie ndio mnaochelewesha mchakato wa katiba mpya
Mkuu unakula barmaid unajisifu, ujue baadhi ya barmaid wanajiuza ili waishiLeo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.
Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.
Acha ujinga tafuta pesa.
Nb. Mimi nina madeni mengi.
sawa mkuu. Nitaufanyia kazi ushauri wako.Kuna magonjwa kumbuka kuchukua tahadhari
ndiyo mkuu. Hapa naish kimiujiza tu, halafu nashangaa sifi.Una madeni tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sawa mkuu, wewe mwelev ungeshuka uzi wa kupunguza ugum wa maisha ningefurahia zaidi. Pambana uwe na hela upunguze chuki na vinyongo.Upuuzi
Mjinga mwenyewe 😎Acha ujinga tafuta pesa.