Mwanaume tafuta hela ununue gari uwapelekee moto kwa chipsi kavu

Mwanaume tafuta hela ununue gari uwapelekee moto kwa chipsi kavu

ni kweli ingawa watapnga! Mahb mnaongoza kung'oa walioshndkana kwa wengne. Mtu umepga jinz kali, tishet na kiatu matata ukiwa unanukia kama jin nan atakukataa? Hata ummy unapga.

[emoji23][emoji23][emoji23] et kama jini
 
Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.

Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.

Acha ujinga tafuta pesa.

Nb. Mimi nina madeni mengi.
Sex tourism
 
Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.

Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.

Acha ujinga tafuta pesa.

Nb. Mimi nina madeni mengi.
Ni wiki mbili tu zimepita tulimzika Monica Mashishanga huko huko na aliondoka na kimeo+ na alikuwa pisi Kali na chain ni kubwa sana

Hayo maeneo wenzako tunayajua na huwa tunaita kisiwani yaani kimeo+ huwa kikali sana .

Bar maids wa huko nawajua yaani matumizi ya condom ni 0 .

Angalia usijepata Chlamydia moja matata sana aliyoambukizwa my friend Mudy kipara na mpaka sasa hajapona😅
 
Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.

Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.

Acha ujinga tafuta pesa.

Nb. Mimi nina madeni mengi.
Unajisifia kwa mabaamedi hahahahaa

Ila nisikulaumu sana maana ndo mgeni katika maisha ya funguo tatu.

Mabaamedi achana nao hao hata kwa miguu unawachukua tu.

Anza kupiga zoezi kwa watoto wa vyuoni. Hao ndo tunanunuaga magari kwa ajili yao.
 
Unajisifia kwa mabaamedi hahahahaa

Ila nisikulaumu sana maana ndo mgeni katika maisha ya funguo tatu.

Mabaamedi achana nao hao hata kwa miguu unawachukua tu.

Anza kupiga zoezi kwa watoto wa vyuoni. Hao ndo tunanunuaga magari kwa ajili yao.
umenipa nondo mkali, ngoja wikendi mojawapo nitinge mwanza malimbe. Kuna mwamba nimechimba nae sana ataniazima vanguard lake.
 
Dogo, acha uboya, Toyota Allex ni gari au chombo cha usafiri?
Kwa kugongea mademu ni gari. Wenye bodaboda tu wananyandua sana mbususu kwa kutumia bodaboda zao tu, sasa ndo unauliza Toyota Allex?.

Hapo utashindwa kung'oa watoto wa kishua tu, ambao ni wachache sana nchini, halafu wengi hata sio pisi kivile.

Lakini pisi za ukweli nyingi sana utang'oa ukiwa na gari ya aina yoyote ile.
 
Ila tatizo la afya ya akili hapa nchini inabidi liangaliwe kwa jicho la tatu!
 
Kipindi niko la tatu nilikuwa nasema nikikua nitakuwa nanunua maandazi ndoo nzima na kuku na soda creti nakula balaa,leo hata andazi za mia 4 simalizi[emoji28][emoji28]

Mletamada utoto unakusumbua,embu pata gari kwanza uone ulivyo unawaza ujinga.
 
Nyie ndo mnafanya wanaume wazuri nao waonekana Ma Ubwa
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Njoo na hii barabara ya vumbi tuonane mkuu nipo lulembela hapa.
 
Leo nimewasili mjini Ushirombo nikaazima kitoyota allex. Yaani mpaka muda huu nishapelekea chuma barmaids watatu.

Hirizi ni funguo tu. Kesho nitakuwa nyakanazi.

Acha ujinga tafuta pesa.

Nb. Mimi nina madeni mengi.
Ukimaliza mzunguko wako ukapime magonjwa ya zinaa na akili.

Sema kweli kijana, Hiyo gari uliazimwa tu au ndiyo upinde? Maana habari zilizopo Kilimanjaro upinde umepamba moto.

Sikuombei mabaya lakini kumbuka tu, vya bure ghali. Tamaa za kijinga zinawaponza sana vijana.
 
Ukimaliza mzunguko wako ukapime magonjwa ya zinaa na akili.

Sema kweli kijana, Hiyo gari uliazimwa tu au ndiyo upinde? Maana habari zilizopo Kilimanjaro upinde umepamba moto.

Sikuombei mabaya lakini kumbuka tu, vya bure ghali. Tamzaa za kijinga zinawaponza sana vijana.

Anachangamsha genge huyo!
 
Back
Top Bottom