Mwanaume Ukifumaniwa unachepuka, usikimbie

Mwanaume Ukifumaniwa unachepuka, usikimbie

Tunaongelea uhalisia wewe unaongelea hekaya hapa, tangu lini mwanaume akaoa komandoo ikiwa hakuna komandoo mwanamke, then hao wanajeshi unaozungumzia nao ni binadam tu nje ya magwanda yao na tunaishi nao, nenda Makambako KJ pale kaulizie Mama Abdul mke wa Hassani ndio mke wangu mimi na hana maajabu yoyote kwenye ukorofi na makofi anakula kama kawa.
Hawa ndo wakioa wanajeshi,
Suala la kupigwa vibao na wake zao wanachukulia kawaida kisa ndo kazi yake,

MKE mi MKE TU,
Hata mamasamia kwa ustadh anakula makofi Safi TU ilhali yeye Ndo amir jesh mkuu [emoji4]
 
Umenikumbusha mbali kidogo. Wife alimjua manzi ambae nilikuwa nachepuka. Akafanya umafia akamteka akiwa na njemba kama tatu hivi. Wakamtaiti yule ikiwemo na kumchapa sana.

Then wakapekua simu ya manzi wakapata ushahidi wa kutosha maana yule manzi alikuwa hafuti maujinga tuliyokuwa tunachati.

Badae jamaa mmoja wao akanipigia simu kwa namba ya yule manzi kwamba amepata ajali ya boda so niende nikamsaidie yule manzi. Mm nilikuwa mitungi nikawaambia wampe manzi niongee nae. Wakanipa saaa yule manzi akawa haongei ila analia tuu.

Wakanielekeza nikaenda hiyo mitaa. Kufika namkuta wife yale maeneo kwa nje. Nikajua leo kimenuka. Wife akanambia njoo huku umuone mchepuko wako.

Nikaingia ndani namkuta yule manzi kataitiwa na jamaa wawili, wakijifanya ni maaskari. Wife ndo kubwa la maadui akitoa amri wale miamba wanatekeleza, dah.

Kifupi pale pale nikawageuzia kibao hawakuamini. Kesi zilikuwa kama ifuatavyo.

1. Mna kesi kubwa ya kuteka mwanamke na kutishia usalama wa mtu.
2. Hata kama ni mtuhumiwa ilibidi ajulishwe aende mwenyewe polisi au kama kukamatwa akamatwe na afande mwanamke tena mwenye RB.
3. Mna kesi kubwa ya kuingilia privacy ya mtu kwa kupekua mawasiliano yake kinguvu bila ridhaa yake.
4. Mna kesi ya kuharibu mali ya mtu maana mmemwaribia simu ya yake na kumpora vitu vya thamani kama vile fedha na mikufu ya thamani. Hii ya fedha na mikufu niliizusha tuu kuzidi kuwavuruga.
5. Mna kesi kubwa ya kunipotezea muda wangu nimeacha shughuli zangu kwa ajili ya ujinga wenu, itabidi wote mfidie hasara niliepoteza maani kwa muda ule niliacha dili la pesa.

Na nikawaambie wanisubiri hapo hapo naenda kituo cha jirani kuwachukua polisi ili waje wawakamate watuhumiwa.

Na nikamwambia yule demu mbele yao kwamba polisi wakifika pale aseme wamemteka pale kwa siku mbili na wamempora vitu vyake, mm nitakuwa shahidi yao.

Wale jamaa wswili waliondoka bila kuaga. Badae nikamwambia yule manzi aondoke. Then nikamwambia wife kama unabaki hapo endelea kubaki mm narudi kwenye mishe zangu tutakutana usiku nyumbani. Nikasepa.
Ha ha ha....wee jamaa nuksi sana,
Uyo mkeo uko nae mpk Sasa? Huo ujinga alisharudia Tena au bado?
 
Ha ha ha....wee jamaa nuksi sana,
Uyo mkeo uko nae mpk Sasa? Huo ujinga alisharudia Tena au bado?
Wife yupo sana na amekuwa na discipline sana. Mbaya zaidi mchepuko nilizaa nao baada ya lile tukio. Before hiyo ishu wife alikuwa anampigia sana simu za kumtukana mchepuko, uzuri mchepu ulikuwa haurudishi matusi.
 
Mhe kanikera sana. Kuna wakati mwanaume unatakiwa ku fanya maamuzi ya kiume, kulinda status na wanao kuzunguka.

Mwanaume akimfumania mwanamke asilimia kubwa ndoa itakufa.ila mwanamke akimfuma mwanaume 50/50 ndoa itaendelea.

Mh alipoona ile hali ilibidi amuondoe mchepuko fasta abaki yeye amuite mke wake.

" babe mbona uko hapa mida hii? Nini shida mama watoto? Njoo twende nyumbani tulale .

Kuna watu nina kikao nao naona wamechelewa............. uongo mwingi sasa bora liende.

Mwanamke akifyumu kwa hasira unamkumbatia unaongea nae maneno matamu unamsii murudi nyumbani muyamalize.

Sasa mhe anaanzaje kukimbia kama mwizi?
Cheo chake kinambeba kudanganya alikuwa ana vikao na watu sasa inakuwaje anakimbia?

Sitetei umalaya ila kuna wakati unatakiwa kutumia akili.
Tusilaumu upande mmoja yawezekana kuna sababu kubwa kwa nini mhe anachepuka. .......anyway!
 
Kwahiyo DeepPond wewe ndiyo jabali kuu la kuchepuka si ndiyo? Wewe ni mchepukaji sugu, uliyeshindikana Afrika Mashariki na kati. Hadi unatoa mbinu zote.
Sijasema Mimi Bantu Lady

Nilichosema kwny Uzi mzima Ni muhtasari wa marejeo ya vikao vyetu mbalimbali vya chama tunavyokaa

#mjumbehauwawi[emoji1]
 
Wife yupo sana na amekuwa na discipline sana. Mbaya zaidi mchepuko nilizaa nao baada ya lile tukio. Before hiyo ishu wife alikuwa anampigia sana simu za kumtukana mchepuko, uzuri mchepu ulikuwa haurudishi matusi.
Ha ha ha....ulipata Mchepuko mstaraabu
Kingekua KICHWA Cha mamaJ wangeparuana balaa[emoji1]
 
Mhe kanikera sana. Kuna wakati mwanaume unatakiwa ku fanya maamuzi ya kiume, kulinda status na wanao kuzunguka.

Mwanaume akimfumania mwanamke asilimia kubwa ndoa itakufa.ila mwanamke akimfuma mwanaume 50/50 ndoa itaendelea.

Mh alipoona ile hali ilibidi amuondoe mchepuko fasta abaki yeye amuite mke wake.

" babe mbona uko hapa mida hii? Nini shida mama watoto? Njoo twende nyumbani tulale .

Kuna watu nina kikao nao naona wamechelewa............. uongo mwingi sasa bora liende.

Mwanamke akifyumu kwa hasira unamkumbatia unaongea nae maneno matamu unamsii murudi nyumbani muyamalize.

Sasa mhe anaanzaje kukimbia kama mwizi?
Cheo chake kinambeba kudanganya alikuwa ana vikao na watu sasa inakuwaje anakimbia?

Sitetei umalaya ila kuna wakati unatakiwa kutumia akili.
Tusilaumu upande mmoja yawezekana kuna sababu kubwa kwa nini mhe anachepuka. .......anyway!
Mweshimiwa kiazi kwelikweli
Alikimbia mkewe utadhan kibaka[emoji1]
 
Ni mwendo wa kukataa tu na kupinga ....usije ukakubali
Nakumbuka sekondari walimu walifanya inspection ya kushtukiza ..ilikua masaa ya mchana wakatutoa darasani wakatupeleka bwenini wakaanza ukaguzi wa simu
mimi nilikamatwa simu na picha ...sasa kwenye tranka langu nilikua na picha nimepiga na kamamsapu kamoja karembo sana cha darasa ile picha tulivyokaa tulipiga kimapenzi kabisa ..ukiiona tu lazma useme hawa ni wapenzi...mm nilikataa ile picha kwamba sio mimi
kufupisha stori;..walimu walimfata yule mdada walivyomuuliza yeye alikubali ila mimi nilikataa kata kataaaa
 
Inategemea na mazingra mkuu binafsi nakumbka kisanga changu nilipokuwa na mahusiano na demu mmoja kumbe Basha wake bodaboda mjomba usiombe bodaboda wakialikana kijiwe wanakuhamishia ww
 
Mweshimiwa kiazi kwelikweli
Alikimbia mkewe utadhan kibaka[emoji1]
Mama j .akikufuma usiangaike huyo ni pesa tu yanaisha. Mpesa imedhibitisha.....

Mkeo akikufuma huyo ni mizawadi na kumtoa out serengeti imeisha hiyo.
 
Mama j .akikufuma usiangaike huyo ni pesa tu yanaisha. Mpesa imedhibitisha.....

Mkeo akikufuma huyo ni mizawadi na kumtoa out serengeti imeisha hiyo.
Ha ha ha....Kama ulikuepo vile[emoji4]

Pia hata Mimi nishajisemea,
Siwez mfumania mwanamke nnaempenda kwa namna yoyote ile, otherwise iwe ni namtaftia tu sababu ya kumuacha.

Fumanizi sio zur hata kdg,
Linadhalilisha Sana hasa likifanyika hadharan

Pia linaua roho ya kuaminiana hata ukisema umemsamehe muendele na mahusiano
 
Inategemea na mazingra mkuu binafsi nakumbka kisanga changu nilipokuwa na mahusiano na demu mmoja kumbe Basha wake bodaboda mjomba usiombe bodaboda wakialikana kijiwe wanakuhamishia ww
Hii nmeongelea Yale mazingira ya kufumaniwa na mwanamke wako[emoji1]

Japo zote zinategemeana,
Hata iyo uliyosema ukiwa mnyonge unadhalilika, mi ukinifumania uwe umejipanga ila siwez kuruhusu uchukue point 3 muhimu[emoji1]
 
Ni mwendo wa kukataa tu na kupinga ....usije ukakubali
Nakumbuka sekondari walimu walifanya inspection ya kushtukiza ..ilikua masaa ya mchana wakatutoa darasani wakatupeleka bwenini wakaanza ukaguzi wa simu
mimi nilikamatwa simu na picha ...sasa kwenye tranka langu nilikua na picha nimepiga na kamamsapu kamoja karembo sana cha darasa ile picha tulivyokaa tulipiga kimapenzi kabisa ..ukiiona tu lazma useme hawa ni wapenzi...mm nilikataa ile picha kwamba sio mimi
kufupisha stori;..walimu walimfata yule mdada walivyomuuliza yeye alikubali ila mimi nilikataa kata kataaaa
Wanawake sijui huwa wakoje,
Biti kdg tu tayar keshasema yote[emoji1]
 
Back
Top Bottom