Mwanaume ukigundua mpenzi wako ana mpenzi mwingine anayemuhudumia na wewe huna uwezo huo utamsamehe?

Mwanaume ukigundua mpenzi wako ana mpenzi mwingine anayemuhudumia na wewe huna uwezo huo utamsamehe?

Mama pretty

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2020
Posts
2,082
Reaction score
4,103
Wakuu habari,

Imetokea wewe kijana wa kiume una mpenzi ambae anafanya kazi mkoa tofauti na uliopo wewe yupo na mahusiano na mtu mwingine aliekaribu nae utamsamehe?

Ni hivi, kijana hana uwezo kiivo kuweza kutimiza mahitaji ya binti, binti anakua na mahusiano mengine ambayo anatimiziwa kila kitu na huyo jamaa yake na siku kadhaa wamekua wakitembeleana wapatapo nafasi.

Sasa kijana wa kiume anagundua kuwa mpenzi wake ana mpenzi mwingine though mnapendana sana.. na ukijiangalia wewe wa kiume huna uwezo.

Je utafunika kombe mwanaharam apite? Au utamuacha binti?
 
Nimekuelewa sana.

Huwezi kusamehewa kwani uaminifu ni maaagano ya mapenzi jambo la kwanza na sio huo uchuuzi.

Uaminifu ukikosekana ni sawa na chakula kisicho na chumvi.

Shida ya mabinti hamna uvumilivu, mnataka kuishi maisha yasiyo yenu.
 
Kama binti kaona kijana wa mbali hawezi kutimiza mahitaji yake na amepata mtu wa kumtimizia na yupo karibu hapo mahusiano yameisha waachane tu. Kijana wa mbali akapambane na mahusiano mengine.

"Bluetooth always connects to nearest device"

simple solution
 
Hakuna uhalisia hapa au ni wewe Mama pretty? mwanamke akichepuka ujue kamaanisha au ni malaya ila kama mwanamke anampenda mwanaume hawezi kutchepuka kwa sababu ya kutohudumiwa
Si mimi.. nmetoa tu incidence ya namna hiyo.. uhalisia naomaanisha ni huo wa binti kupendana na kijana.. na si wote wanaochepuka kuwa ni malaya au kamaanisha.. si rahisi..
 
Hao wanaofanya hivyo wavulana, mwanaume anapiga chini na kuendelea na maisha yake kwani wanawake wapo wengi,so badilisha kichwa cha habari cha huu uzi anza na Mvulana..........
Hata 'wanaume' pia wapo hivyo mkuu
 
Back
Top Bottom