Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
- Thread starter
- #41
Kwani nmekwambia nataka mapenzi?😂Hapana kwa kweli mi nafanya maendeleo yangu hayo mapenzi kwangu yako kushoto sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nmekwambia nataka mapenzi?😂Hapana kwa kweli mi nafanya maendeleo yangu hayo mapenzi kwangu yako kushoto sana
Aah😂😂Eti usilale nae,sijui anadhan unapewa bure
Kuoa-unaachaCha umuhimu ni kuangalia malengo yako kwenye mahusiano hayo..
Kama malengo yalikuwa ni kuoa basi hapo ni kuacha tu..
Na kama malengo ni kupita juu juu bas hapo unabaki tu..
Ila tujikumbushe kuwa zinaa ni haramu
Tatizo linaanza pale mwanaume akujidanganya kuwa mbususu ni yako weye peke. Hapo kijana ni kuachana na huyo mrembo na kuendelea kutafuta mbususu mpya tuuWakuu habari,
Imetokea wewe kijana wa kiume una mpenzi ambae anafanya kazi mkoa tofauti na uliopo wewe yupo na mahusiano na mtu mwingine aliekaribu nae utamsamehe?
Ni hivi, kijana hana uwezo kiivo kuweza kutimiza mahitaji ya binti, binti anakua na mahusiano mengine ambayo anatimiziwa kila kitu na huyo jamaa yake na siku kadhaa wamekua wakitembeleana wapatapo nafasi.
Sasa kijana wa kiume anagundua kuwa mpenzi wake ana mpenzi mwingine though mnapendana sana.. na ukijiangalia wewe wa kiume huna uwezo..
Je utafunika kombe mwanaharam apite? Au utamuacha binti?
Hujazeekea kwenu mama.. we ni mjuaji wa kenzi..😀
Kanywe soda kwa mangi nakuja kulipaUkitaka kushindana na mwanaume utaumia au kuzeekea kwenu.
Mwanaume ni kiumbe kingine, we lete ujuaji tu, na uzee unakunyemelea, mwanaume akizeeka ndio anavutia wanawake zaidi hasa akiwa na mshiko...rejea Mengi na Kylin.
Wewe ziwa likilala ksma ndala kwisha habari yako.
Nimeshalipa mkuuKanywe soda kwa mangi nakuja kulipa
Hahah sawa mkuu, maana hawa viumbe sio wa kutusumbua kabisa mkuuNimeshalipa mkuu
Mwanaume ni nusu Mungu, hawajui tu.Hahah sawa mkuu, maana hawa viumbe sio wa kutusumbua kabisa mkuu
Nini hiki..? Si tumeulizwa wanaume? Yaonyeshe we hodari kuingilia yasiyokuhusu..🤣Hapana siwezi msamehe. Maana kuonesha tamaa na usaliti na sio moyo wa uvumilivu na uaminifu
Kwan mm mwanamke?Nini hiki..? Si tumeulizwa wanaume.? Yaonyeshe we hodari kuingilia yasiyokuhusu..🤣
Hakuna mwanaume anayeweza kusamehe na kuvumilia huo upuuzi. Labda kama sina malengo naye , nina nia ya kupiga tu na kupita hiviWakuu habari,
Imetokea wewe kijana wa kiume una mpenzi ambae anafanya kazi mkoa tofauti na uliopo wewe yupo na mahusiano na mtu mwingine aliekaribu nae utamsamehe?
Ni hivi, kijana hana uwezo kiivo kuweza kutimiza mahitaji ya binti, binti anakua na mahusiano mengine ambayo anatimiziwa kila kitu na huyo jamaa yake na siku kadhaa wamekua wakitembeleana wapatapo nafasi.
Sasa kijana wa kiume anagundua kuwa mpenzi wake ana mpenzi mwingine though mnapendana sana.. na ukijiangalia wewe wa kiume huna uwezo..
Je utafunika kombe mwanaharam apite? Au utamuacha binti?
🙄 Unataka kusema nini..????Kwan mm mwanamke?
Huo ndo ule muda muafaka wa kukaribisha mizimu sasa!Wakuu habari,
Imetokea wewe kijana wa kiume una mpenzi ambae anafanya kazi mkoa tofauti na uliopo wewe yupo na mahusiano na mtu mwingine aliekaribu nae utamsamehe?
Ni hivi, kijana hana uwezo kiivo kuweza kutimiza mahitaji ya binti, binti anakua na mahusiano mengine ambayo anatimiziwa kila kitu na huyo jamaa yake na siku kadhaa wamekua wakitembeleana wapatapo nafasi.
Sasa kijana wa kiume anagundua kuwa mpenzi wake ana mpenzi mwingine though mnapendana sana.. na ukijiangalia wewe wa kiume huna uwezo..
Je utafunika kombe mwanaharam apite? Au utamuacha binti?