Mwanaume ukigundua mpenzi wako ana mpenzi mwingine anayemuhudumia na wewe huna uwezo huo utamsamehe?

Cha umuhimu ni kuangalia malengo yako kwenye mahusiano hayo..
Kama malengo yalikuwa ni kuoa basi hapo ni kuacha tu..
Na kama malengo ni kupita juu juu bas hapo unabaki tu..
Ila tujikumbushe kuwa zinaa ni haramu
Kuoa-unaacha
Kupita-unabaki
πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Tatizo linaanza pale mwanaume akujidanganya kuwa mbususu ni yako weye peke. Hapo kijana ni kuachana na huyo mrembo na kuendelea kutafuta mbususu mpya tuu
 
Kanywe soda kwa mangi nakuja kulipa
 
Hakuna mwanaume anayeweza kusamehe na kuvumilia huo upuuzi. Labda kama sina malengo naye , nina nia ya kupiga tu na kupita hivi
 
Inategemana Nina Nia gani na wewe ....Kama nilikufanya wa kutafunwa tu nasamehe uendelee kuhidumiwa ili niendelee kukitafuna kikojoleo chako.....
.ila Kama nilitaka kukufanya mke itabidi upigwe chini.
 
Huo ndo ule muda muafaka wa kukaribisha mizimu sasa!

In real situation siwezi baki na huyo mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…