Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Kwa mliooa kama mke anachapwa sana, please move on. Mambo ya kupiga mwanamke yatakufikisha pabaya. Utaharibu future Yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hapana aiseeeehhh ni hatari, mwanamke mliekula nae kiapo kanisani unapiga hivi, haya ni maroho fulani hiviKwa mliooa kama mke anachapwa sana,please move on.Mambo ya kupiga mwanamke yatakufikisha pabaya.Utaharibu future Yako.
Kuna maroho sio bure,Oh No, kwani mauhusiano ni ushetani ama? Why watu wanafikia hatua hii?
Kumbe ulikuwa wifi yangu eeh. Huyo alikuwa bado na ushamba.that's why nilimuacha yule mkurya 🥲🙌🏾 imagine tupo kwa bed ananisimulia vile alikua anawabutua wadada walopita namimi nilivo kivuruge 😌
DaaahKwa mliooa kama mke anachapwa sana,please move on.Mambo ya kupiga mwanamke yatakufikisha pabaya.Utaharibu future Yako.
Kwa hiyo mwanamke akiingiza mwanaume ndani kwako, akifanya uzinzi hadharani, akikupiga kofi, kukufokea, kukutukana(verbally abuse) hadharani wenyewe wanaita kuchamba nawe ufunge kibwebwe umchambe kama mwanamke mwenzako au uondoke ktk nyumba yako!!!??Utapigaje mwanamke? Huu ni upunguani! Kuna njia nyingi za kudeal na hawa viumbe! Sio kuwapiga!
Mbaya sana,hii kutokana na kutojua kama ni mke wa mtu,lakini kama unajua ni hatari na Wala usifanye ujinga huu.Muache kuwala wake za watu, mwanaume ni katili kwa asili, hakuna simba anayetaka territory yake iingiliwe na simba mwingine.
Ukishajua huyu kaolewa achana na habari za kutaka kuonyesha ukidume wako. Tafuta "anything single" ujipigie. Short of that mtatandikwa na kuuwawa tu.
Mmoja juzi kaliwa kama mwanamke, yaani it's sad, kawekwa hadi leo hayupo mjini.
uuuuwweeeh nilijua tu nmimi nitakuja butuliwa aseeee we anapga had wanaenda hospitalKumbe ulikuwa wifi yangu eeh. Huyo alikuwa bado na ushamba.
Sasa mkuu bila 'cachword' ya habari ya tukio, tutaaminije huu umwagikaji wa damu unatokana na kipondo toka kwa mwanaume?Kwa mliooa kama mke anachapwa sana,please move on.Mambo ya kupiga mwanamke yatakufikisha pabaya.Utaharibu future Yako.
View attachment 3017381