Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"True wealth isn't in possessions but in the bonds and memories we create. Strive for success, but never forget the value of your relationships and the kindness you show."1. Gari(BMW,Mercedes Benz, Ferrari)
2. Laptop (Macbook Pro, Lenovo thinkpad,lazer blade Pro 17, HP Zbook
3. Apartment ( Masaki na Oysterbay kwa bongo /Miami Los Angeles, dubai kwa ughaibuni)
4. Simu ghali (Samsung S24, iPhone achia wadada)
5. Passport, Visa, driving license, National ID.
6. Mke ( Awe ametokea Manyara, singida, Moshi au Tanga)
7.Mtoto mmoja (wa kike)
8.Bank account ( iwe ina 50M+)
9.Biashara moja matata. (100m Net assets)
10.Any real estate.
11.One really friend.
12. Good relationship with your Mom or dad.
13. Mtu mmoja ambae ulimfanyia wema na hawezi kukusahau.
Sawa mkuuTuishi humu
MhmNafungua codes.
Mwanaume ukishakuwa na vitu vifuatavyo we subiri tu kufa.
1. Gari(BMW,Mercedes Benz, Ferrari)
2. Laptop (Macbook Pro, Lenovo thinkpad,lazer blade Pro 17, HP Zbook
3. Apartment ( Masaki na Oysterbay kwa bongo /Miami Los Angeles, dubai kwa ughaibuni)
4. Simu ghali (Samsung S24, iPhone achia wadada)
5. Passport, Visa, driving license, National ID.
6. Mke ( Awe ametokea Manyara, singida, Moshi au Tanga)
7.Mtoto mmoja (wa kike)
8.Bank account ( iwe ina 50M+)
9.Biashara moja matata. (100m Net assets)
10.Any real estate.
11.One really friend.
12. Good relationship with your Mom or dad.
13. Mtu mmoja ambae ulimfanyia wema na hawezi kukusahau.
SEE YOU AGAIN....
CODE ISHAFUNGULIWA, ACCESS GRANTED
Soma tena hujaelewa kitu, "subiri kufa tu" ni msemo unaomaanisha umeshamaliza kila kitu dunianiKufa kunachagua?? Hata kukikukuta na smart gin au boxer moja iliyochanika Haki Chagui
Angalia upo jukwani alafu tuliza hasira mkuu ni maoni tu😄😄😄Kwahiyo mimi siji kufa? Vitu vyangu .....
Gari sina, apartment sina ila naishi ukonga mombasa chumba sebule fresh tu, mke nnaye katokea Chikumbitwela Lindi, laptop nnayo ndio tena dell japo haikai na chaji naitumia kama TV ukichomoa kwenye socket tu inazima, simu nnayo itel A18, passport sina kwanza ya kazi gani, watoto nnao 5, wote wa kiume, bank account nnayo ndio, mwalimu bank, balansi 71k safi kabisa, vya real estate havinihusu ila biashara naanza mwakani naenda kujumua ufuta kusini
shida iko wapi?
Sina maana hiyo, hapo nilimaanisha mke mzuri hiyo ni baadhi ya mkoa na lengo kuu ni kutia radhaKwahyo sisi tuliotokea iringa,mbeya,mtwara,ruvuma hatustahili kuwa wake wa wenyewe ? 😥😥😥
Vizuri, nitakuja nayo soon nitakutagTuekee na checklist ya mwanamke

Sisubiri kufa ndoto ni kupata vyote hivyo...Wewe una kipi ktk hivyo wakati ukisubiri kufa mkuu?
Maana mpaka umejua lazima utakuwa na experience na kimoja wapo.
Kwa taarifa yako hizo sifa zote ulizotoa hawezi kua nazo mtu hapa chini ya jua,kila ukionacho kina raha fulani ktk macho yako pia kina karaha zake ambazo watu hawakwambii tuNafungua codes.
Mwanaume ukishakuwa na vitu vifuatavyo we subiri tu kufa.
1. Gari(BMW,Mercedes Benz, Ferrari)
2. Laptop (Macbook Pro, Lenovo thinkpad,lazer blade Pro 17, HP Zbook
3. Apartment ( Masaki na Oysterbay kwa bongo /Miami Los Angeles, dubai kwa ughaibuni)
4. Simu ghali (Samsung S24, iPhone achia wadada)
5. Passport, Visa, driving license, National ID.
6. Mke ( Awe ametokea Manyara, singida, Moshi au Tanga)
7.Mtoto mmoja (wa kike)
8.Bank account ( iwe ina 50M+)
9.Biashara moja matata. (100m Net assets)
10.Any real estate.
11.One really friend.
12. Good relationship with your Mom or dad.
13. Mtu mmoja ambae ulimfanyia wema na hawezi kukusahau.
SEE YOU AGAIN....
CODE ISHAFUNGULIWA, ACCESS GRANTED
Anhaa!!!Sisubiri kufa ndoto ni kupata vyote hivyo...
Baada ya hapo ndoto zitakuwa zimetimia....
Neno "subiri kufa tu" linamaanisha umemaliza kila kitu
Kwa point ya kila kitu kina karaha nakubali, lakini sijakuelewa unaposema hizo sifa hawezi kuwa nazo mtu hapa chini ya jua unamaanisha nini? Kipi cha ajabu Kati ya hayo?Kwa taarifa yako hizo sifa zote ulizotoa hawezi kua nazo mtu hapa chini ya jua,kila ukionacho kina raha fulani ktk macho yako pia kina karaha zake ambazo watu hawakwambii tu
Duh?!Nafungua codes.
Mwanaume ukishakuwa na vitu vifuatavyo we subiri tu kufa.
1. Gari(BMW,Mercedes Benz, Ferrari)
2. Laptop (Macbook Pro, Lenovo thinkpad,lazer blade Pro 17, HP Zbook
3. Apartment ( Masaki na Oysterbay kwa bongo /Miami Los Angeles, dubai kwa ughaibuni)
4. Simu ghali (Samsung S24, iPhone achia wadada)
5. Passport, Visa, driving license, National ID.
6. Mke ( Awe ametokea Manyara, singida, Moshi au Tanga)
7.Mtoto mmoja (wa kike)
8.Bank account ( iwe ina 50M+)
9.Biashara moja matata. (100m Net assets)
10.Any real estate.
11.One really friend.
12. Good relationship with your Mom or dad.
13. Mtu mmoja ambae ulimfanyia wema na hawezi kukusahau.
SEE YOU AGAIN....
CODE ISHAFUNGULIWA, ACCESS GRANTED
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuekee na checklist ya mwanamke
Sasa ulitaka usubirie kufa? Wewe utaishi ndugu.Aisee Mimi ata Moja humo simo, kwakweli mniache kwanza 😪