Mwanaume uliyevurugwa na mapenzi

Tundazuri

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2012
Posts
1,932
Reaction score
2,525
Habari rafiki, kama kuna mwanaume anaevurugwa au kuteswa na mapenzi naomba usipate stress, njoo tuwe marafiki usilewe kupita kiasi utapata stress utadata buree, njoo rafiki tubadilishane mawazo popote ulipo tutakuwa tunawasiliana, mm nipo Dodoma kw sasa. Nitakupenda kama rafiki yangu na nitakujali niwe nakushauri. Nipo kwa ajili yako plz njoo inbox rafiki usiruhusu kuumizwa na mapenzi na mm nipo rafiki yako
 
Kwahiyo unatafuta Mwanaume aliyevurugwa ili umtulize,,,,, uondoe stress zake......duh! Kama sio kumpididi Mwanaume mwenzio unataka kutuambia Nini?
Vipi ukimkuta kijana wako anapendwa na wanaume wenzake na kuondoleaa stress.....utamshukuru Mola?
Fala wwmxxxshshx🖕
 
Sasa wakija wote au wengi si watakupasua mjohoro?
 
Huyo jamaa ni mwanglikana
 
Lipia tangazo kwanza, halafu unajisikiaje kupost ujinga hivi

Anyway, upo dodoma sehemu gani? Jua la mkalama litaniua na hii xmass na upweke haviendani
 
Hii ni maajabu.
 
Haya sasa wadada wanawake mnaodengua na kukataa wanaume kazi kwenu changamoto kwenu hii soko linaelekea kuwa gumu muda si mrefu.
 
Mm ukinichekea nakula mwenyewe kiroho safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…