My Honest Book
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 1,363
- 2,161
Bro wangu ana kucha ndefu sana kwenye madole gumba ya mikononi, ana roho mbaya sana na chuki, ni mtu mmoja hivi wa aina yake kama mchawi. Misibani haendi harusini haendi, kanisani haendi yeye ni yeye kujidai, kujiona, kujisikia na kila aina ya maringo ni yeye.Kichwa kimenyooka bila shaaka,asee mimi naongea na ww mwamba unaefuga kucha yaani kucha ndefu mkono mzima hua mnayatumia vip..
Au huwa mnafeel vip mkijiona na izo kucha wazee,me nimejaribu kuiona hii hali ya kawaida ila imekua ikinikata sana nikiona hii kitu
Mchawi kumbe ana alama? Wewe una chuki tu zako binafsi na Kaka yako ndugu emu ondoa hio roho waweza kuta jamaa hata hana chuki na wewe km unavyomchukia weweMfuga mikucha yoyote wa kiume ni mchawi
Sijaelewa umesema?Kuna muda mbususu wahitaji kucharaa kuchaaa ili usuguliwe vizur
Wanaita SUNAKichwa kimenyooka bila shaaka,asee mimi naongea na ww mwamba unaefuga kucha yaani kucha ndefu mkono mzima hua mnayatumia vip..
Au huwa mnafeel vip mkijiona na izo kucha wazee,me nimejaribu kuiona hii hali ya kawaida ila imekua ikinikata sana nikiona hii kitu
Ila wanaosuka nywele na kujipaka lip shine wapo serious na Maisha?Hamna mwanaume yuko serious na maisha atafuga kucha.
Kundi moja.Ila wanaosuka nywele na kujipaka lip shine wapo serious na Maisha?
Upinde wa mvuaKundi moja.
Hata wale wanavaa mipete nawaona wa ajabu
Huwa nawaza mwanaume kuangalia vidole vyako viko na makucha marefu unajisikiaje?!Hamna mwanaume yuko serious na maisha atafuga kucha.
Kuna limoja nililifukuza kazi sababu ya mikucha.Huwa nawaza mwanaume kuangalia vidole vyako viko na makucha marefu unajisikiaje?!